Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Mkuu tutafute hela tu πŸ€£πŸ˜‚, ungekuwa na hela haya yoote yasingekukuta.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bora umetutea tunajifeel kupendwa tukipewa Hela sijui kwann ela ya mwanaume tamu namna hiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bora umetutea tunajifeel kupendwa tukipewa Hela sijui kwann ela ya mwanaume tamu namna hiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mmeumbika hivyo, mpokee zaidi,hata sisi tunaenjoy pale tunapotoa na kupokelewa kwa shukrani kedekede, lakini tukiwa hatuna mtuelewe πŸ˜‚
 
Kwa sasa wanaumizwa na mahusiano ni wanawake mkuu sema nyie ndo wazuri wa ku fake life, si unaona huyo hapo kweny sms kaweka kabisa na emoji za kucheka!! Unadhan anacheka kweli? Ana fake tu ili asionekane kaumia ila anajua kulipata next danga ni kipengele.
5 min after hiyo sms msela anaeeza akawa na pisi nyingine kali, lkn inaeza chukua hata mwezi kwa ke kupata replacement danga.
Wacha we!! Na bado nyuzi za kulia lia kila kona mmejaza nyie. Basi sauwaaaaa.
 
Nina assume, kama hizo chatting ni za kweli na sio fiction/kutunga.


Kwanza kwa Jamii zetu hasa za Dunia ya tatu, njia nyingi za kupata kipato/fedha/Pesa zipo katika Mfumo dume/Masculine.

Hivyo wengi wa Upandee wa Ke/Feminine kukosa Pesa/Shillingi au chapa sio Jambo la kushangazaa kwa tafakuri ya kina .

Walau sio mbaya Mambo yanabadilika kidogo kidogo upande wa Ke/Fe, Sasa kuna Smart Ke, ambao wameona fursa ni kuchuna mabuzzi Kwa mwendo wa kasi.


Kwa Play boy Wema/Smart, kama kwa chatting hizo umezifanya kabla ya kupata tunda/Pussy++, Ni kosa kubwaa la kiufundi.

Play boy smart code's zetu, nitakupa chache hapa,

Code's zetu, ukizielewa vyema na kwa vitendo,Unaweza kupita/kula tunda na yeyote yule, awe Mke wa Mtu, awe Traditional Women, Awe Nyambizi Au teengirls, awe class ya juu, Kati au chini na kwa Muda mchache hata chini ya lisaa lichache, wote mkiwa stranger's.

Mosi, Hutakiwi kutoa Hela kizembe hata iwe miatano shillingi/Usiwe Pushover..

Kwa chatting Yako hapo na maelezo Yako naona code Hii, ndio imeteleza.

INTERMITTENT -REINFORCEMENT.

Code Hii, ukielewa vyema zile Hadithi za kwamba Mtu kalishwa limbwata la Mahaba ndiposa huzunguka.

Tafuta dictionary iwe ya oxford au Cambridge tafuta tafasri ya Maneno hayo INTERMITTENT -REINFORCEMENT.

Finals, hutakiwi kuachana na Mwanamke katika mahusiano kwa Vita/vurugu/magonvi/kashifa.


Hizo ni code chache tu za Kwetu -Play Boy Wema.
 
Wacha we!! Na bado nyuzi za kulia lia kila kona mmejaza nyie. Basi sauwaaaaa.
Drop in a bucket maddam ndo wanaolia lia na honestly hawajitambui,
Ni vile tu si kila mtu anaeza upload sms chat za michepuko, mwamba kama hivo kapiga 17 times over two weeks halafu sms ndeeefu ya exit plan, yan kapambana hela yote kabla ya kutangaza msiba
 
Tunaomba ela km vilema πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mm nimetoka kuomba muda huu sema mtoto wa mama mkwe Hana baya pia akinmbiaga Hana natulia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanini mnakua hivyo, mbona sisi wanaume wengi hatuwaombagi wanawake hela Aaliyyah
 
Njaa ni kali sana, ni kweli wanakuwa hawana hela tatizo ni kauli
 
Back
Top Bottom