Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
πππBora umetutea tunajifeel kupendwa tukipewa Hela sijui kwann ela ya mwanaume tamu namna hiiπππMkuu tutafute hela tu π€£π, ungekuwa na hela haya yoote yasingekukuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππBora umetutea tunajifeel kupendwa tukipewa Hela sijui kwann ela ya mwanaume tamu namna hiiπππMkuu tutafute hela tu π€£π, ungekuwa na hela haya yoote yasingekukuta.
Mmeumbika hivyo, mpokee zaidi,hata sisi tunaenjoy pale tunapotoa na kupokelewa kwa shukrani kedekede, lakini tukiwa hatuna mtuelewe ππππBora umetutea tunajifeel kupendwa tukipewa Hela sijui kwann ela ya mwanaume tamu namna hiiπππ
Mmeumbika hivyo, mpokee zaidi,hata sisi tunaenjoy pale tunapotoa na kupokelewa kwa shukrani kedekede, lakini tukiwa hatuna mtuelewe π
Ukiwa muelewa utaenjoy. Ukipewa pokea na shukuru, akisema hana, mtie moyo na muombe dua.Ilo ndo sijawahi kosea
Inabid mtu akiwa Hana umuelewe kutoa ela kazi weeπ
Wacha we!! Na bado nyuzi za kulia lia kila kona mmejaza nyie. Basi sauwaaaaa.Kwa sasa wanaumizwa na mahusiano ni wanawake mkuu sema nyie ndo wazuri wa ku fake life, si unaona huyo hapo kweny sms kaweka kabisa na emoji za kucheka!! Unadhan anacheka kweli? Ana fake tu ili asionekane kaumia ila anajua kulipata next danga ni kipengele.
5 min after hiyo sms msela anaeeza akawa na pisi nyingine kali, lkn inaeza chukua hata mwezi kwa ke kupata replacement danga.
Sijui kwanini masikini hua mnapaniki ona kama hili dubwashaAkapewe hela na baba yake.
Huyo demu apelekeshe Umaskini na njaa zake kwa baba yake.
Drop in a bucket maddam ndo wanaolia lia na honestly hawajitambui,Wacha we!! Na bado nyuzi za kulia lia kila kona mmejaza nyie. Basi sauwaaaaa.
Kama mapenzi ni hela ungemwambia akafanye kazi benki...Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Labda kijana anasoma Philosophy! Ahahahahaha!!πππ yote hayo ya nini ,ungemwambia tu sina, mkuu.
πππ yote hayo ya nini ,ungemwambia tu sina, mkuu. Vijana waoga huyo Mwanamke anajua anachokifanya sasa huyo jamaa anataka kumuelimisha Malaya.
Bora vijana wanao Betting ata kama wanapoteza pesa lakini kuna wakati wanapata pesa kuliko kubeti kwa wanawake pese hairudi tena.Dem linaomba hela kila siku kama vile nililiwekeza na usikute linawanaume kama wote, hao wa hivo mimi huwa napiga na kusepa