Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
- Thread starter
-
- #21
Mume anadai anamjibu kifupi tuVipi bidada akijaribu kumuuliz au kuzungumza nahuyo mumewe, mume hutoa response ipi??
We ungepata Kisiran Kama Mimi ukinuna Mimi ni Mara mbili yako, ungefurahia shooKiukwel wanaume tupo wabkariba mbali mbali amuxoee tu hata Mimi nipo hivyo Kuna muda naambiwaga Nina nuna
Haaaaaaa nipo hivyo wasenaga mpaka wanachokaWe ungepata Kisiran Kama Mimi ukinuna Mimi ni Mara mbili yako, ungefurahia shoo
kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja
Kwan ningesema nimimi ningechapwa fimbo?
Mkuu mbna unazunguka! Semeni kuwa ni wewe ndo unae tendewa hayaMdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka
2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja
3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Acha kuzusha, hawawezi kuishi wote miaka 100 sema kama ni mingi 70 tu.
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka
2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja
3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Na wewe jichunguze tabia zakomaendeleo tufanye hiki
Akili fupi hapa tayari umetuacha uzi mzima hatuelewi!
Hio ndoa walipangiwa?au walifunga kwa hiyana zao?nilivyoelewa mpaka sasa huyo mume hana imani na mke wake asilimia mia na ndio maana pia hamshirikishi kwenye masuala yale.Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka
2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja
3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Jamaa alikuwa na tabia hiyo hiyo wakati wanaanza mahusiano yao au tabia imekuja kubadilika sasa .Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka
2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja
3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Salamu apokee vzr. Baada ya hapo una muteNa bibie afanye km mumewe....
Tena salam asipokee