Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Katoto kamewahi hako jamani, mimi dada yake bado nimeshikilia bikra mpk leo
Pls tunaomba ulipie tangazo lako humu, maana najuwa kuanzia Sasa huko PM kumejaa watu wako foleni na maombi yao ya kazi ya kuitoa hiyo bikra ulioshikilia kwa miaka yote hiyo!! Hongera sana,wwe siyo Kama Cocastic yeye kaanza kupelekewa Moto tangu ana miaka 7 na Yuko very proud na hilo!!
 
Wewe unawajua hao? au ndio umeamua kumtetea pedophile mwenzio? Eti ni mcheshi na mtoto anapenda kuchezea simu, saa 5 za usiku mtoto sio wako anaingia chumbani kwako kuchezea simu!! Una akili kweli wewe,

Kama unaona kaonewa nenda mahakamani waambie kifungo chake wakupe wewe.
 
Miaka 12 ? Aisee mtu kama huyu wanatakiwa wakate hiyo mashine
kwa mikoa mingine sawa sio huku mkuu we fikiria mzazi anafanya bonge la sherehe kwa binti kumaliza darasa la saba unategemea nini achilia mbali hivi vitoto vimechezwa vimefundishwa kumuhudumia mwanaume.
hivi inawezekana kweli wajifunze kuogelea halafu wayaone maji kisha wakatazwe kuogelea na wote wakubaliane naanayewakataza wakati wakimuona akiogelea kwa raha zake?
mji hii ni kawaida binti kumlalamikia mama yake kamchukulia bwana yake na yeye anaenda kutembea na bwana wa mama yake huku baba hujui lakini mtoto na mama wote wanaliwa na mtu mmoja!
 
umeongea kwa hasira na uchungu mkubwa kama mzazi lakini si kwa eneo hili ambalo mzazi pia huusika kumshawishi binti yake achukuliwe na mwanaume fulani nakwambia ukweli achana kabisa na tunduru wako bize kwenye hilo eneo kuzidi wanavyosikika na kiukweli hili litaisha tu.
 
Hukumu Kwa haki na wewe siku ya hukumu yako faraja itakuwa juu yako!! Kuna kitu kinaitwa Mazingira, forensic investigation, usikurupuke kuhukumu bila kuangalia Mazingira, wale wadada walitakiwa washangae na Sio kuonyesha walikuwa wanajua kilichotokea na kutafuta simu
 
Pia mahakama Sio sehemu ya kuwafunga watu wasio na hatia
 
Issue ya mtoto ni sensitive sana, mimi hua namwambia hata mume wangu asije akajaribu kutoa lift kwa watoto wa shule (kuna siku alifanya hivyo nikiwa nae akadai ni mazoea yake anawaonea huruma) nikampiga stop ndefu na kumpa mifano kadhaa.... kuna jirani yetu yeye hana mke sasa amezoea kumtuma katoto fulan hivi dukan na kale katoto kakaweka mazoea ya kwenda pale kucheza, nikamwambia jiran aache mazoea iko siku linaweza mkuta jambo, kwani ilipita mwezi sasa, akaletewa difenda kesi ya kumdhalilisha kingono yule mtoto wakadai hua anampa uume wake auchezee, ilikua balaa zito hadi kuja kuonekana sio kweli,

Mtoto ambaye si wako kaa nae mbali sana acha mazoea nae hata kidogo, watoto ni wa kulindwa kwa gharama yoyote ile sababu wapo washenzi wenye tabia za kishenzi huwakatili watoto.
 
Kwa maelezo haya basi hiyo sehem ni ya kuimulika na tochi mchana na usiku, watoto hawapo salama kabisa huko
 
papai for life😂

au BICHWA KOMWE - unasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…