Usipende kuhukumu, hii ni planned move na Sio bahati mbaya, kinachoonekana huyo kaka WA Watu ni mcheshi na huyo mtoto anapenda kucheza na simu, anytime anazuka chumbani ankle the naomba simu nicheze game!! Ankle then mazoea!! Jiulize hizo picha ni za kingono!? Maybe no, Sasa mtoto anazoea kupitiliza na ucheshi unakuponza, hao dada WA Binti mdogo huenda ndio walimtaka huyo kijana akawazingua nao wakamtafitia hao mapolisi, what coincidence mtoto atoke nje na Polisi hapo hapo wapo!? Huyo mtoto ndio WA kumuokoa huyo kijana Kwa kusema Ukweli, ni Mkubwa WA kutosha kuweza kutambua uzito WA kumbambikizia Mtu kesi kubwa kama hiyo, hao dada zake huenda Wana donge la kukataliwa