Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Ulitaka aje kukufumania wewe? Wewe majukumu ya mkuu wa wilaya unayajua?

Akifanya kazi za karibu na jamii mnaponda, asipofanya mnaponda. Wabongo walalamishi sana
Hiyo kazi ya polisi kuweka mtego na kumshika mtuhumiwa hakukuwa na haja ya mkuu wa wilaya kwenda kutafuta cheap politics hizoo wakati wilaya ina matatizo kibao...
 
Hapo chacha mkuu wa wilaya anaongea kwa niaba ya mkuu wa wilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wasikukaushe damu njoo tulale baby [emoji3059][emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DC km DC.
 
Vitoto huko vinaanza kutmbn wakiwa wadg sana....
Vitoto huko kuruka na watu wazima si jambo geni huko
Sijui huyu jamaa alinasanasa vp mpaka kumalizwa..

Ova
Wapiii huko??
 
ni disguise ya dp world hiyo. jadilini hili lakini msije kupoteza mwelekeo wa kujadili na dp world. though kwa mkoa wa Mtwara, mabinti kuanza ngono wakiwa na miaka 12 hata 11 ni kitu cha kawaida. wanahitaji elimu. unyago huwa unawapeleka kote huko.
 
Acha kudanganya watu, kesi ya ubakaji haina dhamana mpaka siku ya hukumu au mahakama itamke hauna kesi ya kujibu.
Sijaongelea dhamana jifunze kusoma na kuelewa ,nimesema due procedure , hayo ni mambo mawili tofauti Sana , bila due procedure, any infringement in evidentiary law is a ground tena strong Sana kuangusha kesi ....nimesema mnipe number sio kuongea mambo usiyoyaelewa
 
Vitoto huko vinaanza kutmbn wakiwa wadg sana....
Vitoto huko kuruka na watu wazima si jambo geni huko
Sijui huyu jamaa alinasanasa vp mpaka kumalizwa..

Ova
Hili swala siyo huko tu hata Dar lipo sana sema matukio hayajurikani.

Mfano leo hii nimekutana na vibinti viwili vya primary school vikaniamkia vikaomba niwanunulie ice cream zile za miamia, nikawauliza si nyinyi ndio mnauza wakasema wametumwa, basi nilisikitika sana na sikuwanunulia, unajuwa hapa mjini hata wema unaweza kukuponza.

Sasa hoja hapa kama hawa mabinti wa Primary wanaomba ashikirimu ya mia, je bazazi likiwa linampa chips mayai na fanta hawezi kupaka KY Jerry akazamisha dudu?

Tatizo kubwa ni poverty, hizi sababu zingine mnazunguka tu.
 
Mbona hii kesi ndogo hvi ,hapo nipeni namba za ndugu za huyo dogo wiki mbili yupo nje tena namwakilisha mwenyewe for free .
Kisheria Kuna mambo mengi hapo yanaflows ,beyond reasonable doubt in criminal cases na wakili mzuri hufungwii.
Me wengi jela wanafungwa kwa kutojua due procedure


1) yanaflows[emoji777] yanaflaws[emoji736]

2) Utamfanya apigwe miaka 100 badala ya 30!

Haishangazi kuwa na wimbi kubwa la watu waliotawaliwa na hisia zao za kingono mixer kihayawani, mazingira yana support hali hii. Hofu yangu tu hili wimbi likiikumba sekta ya sheria, it will be the beginning of the ending.
 
Back
Top Bottom