Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda zobaaa, mwingne anapewa 30k na hastukiwiiii.
Mtoto below 15 umpe 30k mmmh hatakama anaishi geto mwenyew majiran watajua hio nipesa mingi atanunua nin ambacho wazaz wasijue mana mpaka chupi mama ndo mnunuaji
 
Mtoto below 15 umpe 30k mmmh hatakama anaishi geto mwenyew majiran watajua hio nipesa mingi atanunua nin ambacho wazaz wasijue mana mpaka chupi mama ndo mnunuaji
Anakula mdo mdo had inaishaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima anunue kikubwa cha kumuumbua, lol
 
Ilimkuta jamaa yangu Sana.

Bado kidogo Tu nimpoteze maana jamaa nae alikuwa m,bishi dizaini alikaza akagoma kutoa hela hatua ya mwanzoni.

Tulikuja kutoa zaidi ya laki 8 na nusu plus usumbufu na muda kupotea. Na jamaa Bado kidogo taarifa zifike ofisin kuwa amebaka.

Ni Mungu Tu. Ila hivi vibint ni wa kukaa nao mbali, Tuache mazoea nao Kabisa.
vibinti vingine ni miaka 16 tayari vitundu hata huko shuleni vishatembea na walimu kibao, huwa vinakodishwa ukidakwa wanapunguza na umri ili wakutaiti vizuri.
 
Mkuu wa wilaya kaenda kumfumania jamaa getoo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ila haya maishaa bhanaa...! Mteule wa rais hana majukumu ya maana kabisa yani
Ulitaka aje kukufumania wewe? Wewe majukumu ya mkuu wa wilaya unayajua?

Akifanya kazi za karibu na jamii mnaponda, asipofanya mnaponda. Wabongo walalamishi sana
 
Ulitaka aje kukufumania wewe? Wewe majukumu ya mkuu wa wilaya unayajua?

Akifanya kazi za karibu na jamii mnaponda, asipofanya mnaponda. Wabongo walalamishi sana

Hapo chacha mkuu wa wilaya anaongea kwa niaba ya mkuu wa wilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wasikukaushe damu njoo tulale baby [emoji3059][emoji3059]
 
David Ruya mkazi wa Tunduru Mjini – Ruvuma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku.

Baada ya kukamatwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 alikana kuingiliwa kimwili na mtuhumiwa huyo, lakini baada ya vipimo ilibainika kuwa walisema uongo huku simu waliyokutwa nayo ikigundulika kuwa na picha mbalimbali walizorekodi wakiwa chumbani.

Azam

View attachment 2685284
HUYU MKUU WA WILAYA HII YA TUNDURU...HAKUNA SHUGHULI ZINGINE ZA MAENDELEO ZA KUSHUGHULIKA NAZO UKAITA WAANDISHI WAKUONE...

KAZI KUSHUGHULIKA NA UMBEA TU...
 
Mbona hii kesi ndogo hvi ,hapo nipeni namba za ndugu za huyo dogo wiki mbili yupo nje tena namwakilisha mwenyewe for free .
Kisheria Kuna mambo mengi hapo yanaflows ,beyond reasonable doubt in criminal cases na wakili mzuri hufungwii.
Me wengi jela wanafungwa kwa kutojua due procedure
 
Mbona hii kesi ndogo hvi ,hapo nipeni namba za ndugu za huyo dogo wiki mbili yupo nje tena namwakilisha mwenyewe for free .
Kisheria Kuna mambo mengi hapo yanaflows ,beyond reasonable doubt in criminal cases na wakili mzuri hufungwii.
Me wengi jela wanafungwa kwa kutojua due procedure
Acha kudanganya watu, kesi ya ubakaji haina dhamana mpaka siku ya hukumu au mahakama itamke hauna kesi ya kujibu.
 
Sijapenda walivyomchukua na makamera tena Azam tv live..kwani wangemkamata kimya kimya wangepungukiwa nini? Maana mpk sura ya mtoto tumeiona.

Japo amefanya vibaya ni lazima awajibishwe ila sikuona haja ya makamera
Yawezekana jambo limetengenezwa
Baadhi ya mikoa fumanizi lolote huishia kutozwa faini.
Vile vile,tayari wameshatengeneza mjadala na kumhukumu mtuhumiwa kabla ya kufikishwa mahakamani.
Hapo upande wa utetezi unaweza shinda na sababu zipo:
1.Yawezekana mtoto ameomba hifadhi kutokana na manyanyaso ya walezi.
2.kwa sababu hiyo hapo juu,aliambiwa apumzike mpaka asubuhi atapelekwa sehemu salama.
 
Iko hivi
Unavoambiwa nchi hii kubwa kikwete hakukosea ,tuamini

Tunduru au kusini mwa Tanzania ni hovyosana uislamu na umila umewamaliza mno watoto wadogo ,darasa latatu Hana bikra yaani ,anabeba mwanaume mama Ake mzazi anamuogopa

Nimeyashuhudia na kuwaona watoto wanaoamka Kwa wanaumezao


Kijiji Moja Maarufu Sana Kwa wilaya ya tunduru kinaitwa LIGUNGA
Huu ndio ukweli,ambaye hajafika kusini aelewe na aupokee ukweli kama ilivyoshuhudia.
 
Back
Top Bottom