cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ushogaa unakutesaa sanaaa, poleeee.Sisemi kama alilofanya huyo jamaa ni zuri sana, Ila mimi nashangaa, sijawahi sikia mwanaume akifungwa miaka 30 kisa ni shoga, na mbona hawatengenezagi mitego ya kukamata wanaume wanaokulana wenyewe kwa wenyewe?
Kipindi kile Makonda alianzisha kampeni ya kukamata mashoga, James delicious alikuwa mahabusu kabisa na alitakiwa afungwe miaka 30 kulingana na sheria za nchi yetu, alilipiwa dhamana ya 5 million tshs, mbona hadi leo yuko uraiani? ? Na jamii yote wanamjua James delicious ni shoga na ushahidi wanao.
Hadi facebook kuna NGO sijui kampeni inaitwa
binti, inapinga mabinti wasiolewe wakiwa wadogo kwa madai itaharibu ndoto zao.
Ina maana kijamii, mwanaume ukiwa shoga huwekewi mtego wa kupelekwa jela ukafungwe 30 years, ila uki-sex na binti mdogo tena aliekwisha vunja ungo tayari, mara nyingi jamii itakujia juu ili ikufunge jela, hii ni logic ya wapi?? Kelsea Evelyn Salt Numbisa Leejay49 rubii financial services FaizaFoxy Depal Dejane Hannah mzabzab Mzee wa kupambania DeepPond Extrovert
Hivi watu wakubwa walio amua kutumia vinyeo vyao wee unaumia nn?? Hivi case za ulawitii husikiii??huoni habari zakee??
Km unadate na katoto kadogo, ukitegemea ukikamatwaa utaachwa kisa mashoga wanaachwaa, poleeee wee, ukikamatwa ni jela miaka yote, huku mashoga wakibaki uraiani kuwapa vinyeo mabasha wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]