Anashindwaje kutoka hadharani na kuisafisha hali ya hewa? Amekubali yaishe?

Anashindwaje kutoka hadharani na kuisafisha hali ya hewa? Amekubali yaishe?

Inashangaza Hadi Leo hii watu wazima hama akili ya kusoma saikolojia ya Samia.

Samia hajawahi kurupuka Wala kuendeshwa Kwa mihemko Wala kujibu wajinga.

Mara hii mumesahau dp World,Masai nk? Lisu anadhana anaweza mtoa Samia kwenye reli? Samia sio Mwendazake kwamba atajaa upepe.

Mtaongea wewe mkiishiwa mtakaa kimya mtaona kimyaaa anaendelea na ratiba zake , hajawahi na haitakuja kutokea akatoka kwenye reli.
Kabisa, kwanza atatishwaje na jini analo lifuga, hawa akiwanyima ruzuku tu wote kimya
 
Asafishe nini?

Hakuna mtu aloye serious ataacha kuchapa kazi aje kubishana na mental case

Ndio maana magu alikua anawanyoosha mkakosa pa kupumulia

Mh kawapa uhuru, mnautumia vibaya
Bado unamuota jini wako jiwe mpk leo? Kama vipi kazikwe naye Chato!

Huwa kuna muda anakuwa serious huyu mvaa majuba?
 
Inawezekana vipi MZANZIBARI
Anaweza kupata ardhi Tanganyika lakini Mtanganyika hawezi kujenga Zanzibar
MZANZIBARI anaweza kuwa Rais Tanganyika lakini Mtanganyika hawezi kuongaza Zanzibar Kwa cheo chochote lakini Tanganyika wapo tele
Idadi ya wa Zanzibar waliopo kwenye vyombo Cha ulinzi na usalama ni kubwa kwauwiano wa idadi ya watu Zanzibar na Tanganyika,. Me hayo yote hatuyaoni au tumejizima data.
Uko sahihi mkuu
 
Mnaongeaaa,mbona watu kibao kutoka bara wana nyumba zanzibar, mnaaminishwa ,na kila anayesema hili muulize yeye kama yeye aliwahi kutaka akanyimwa?? Jibu hana atakwambia wanasema,sasa wanasema na wewe unadakia kitu usichokuwq na uhakika nacho
Wewe acha kubwata, kasome katiba ba sheria za Zanzibar.
 
Asafishe nini?

Hakuna mtu aloye serious ataacha kuchapa kazi aje kubishana na mental case

Ndio maana magu alikua anawanyoosha mkakosa pa kupumulia

Mh kawapa uhuru, mnautumia vibaya

Kwa Hizi Akili, Tunayo Safari Ndefu Sana Kufikia “Maendeleo ya Kweli”
 
1. Wafanyakazi wanatema nyongo kuwa rais kakimbia hoja za kikokotoo Mei mosi.

2. Lisu anasema rais mzanzibari anaouza rasilimali za Tanganyika kwa wajomba zake waarabu.

3. Wanaccm wanalalamikia uamuzi wa ccm kutoa fomu moja tu ya mgombea urais kupitia ccm 2025.

Badala ya kukaa kimya rais alipaswa kuongea na waandishi wa habari ili kuzitolea maelezo hoja hizi tatu ili kuleta mtangamano ndani na nje ya chama chake na nchi kwa ujumla.

Vinginevyo, rais anatoa tafsiri kuwa hatoshi, anapwaya na hajui chochote.
upotoshaji hauna maana wala faida yoyote 🐒
 
Inawezekana vipi MZANZIBARI
Anaweza kupata ardhi Tanganyika lakini Mtanganyika hawezi kujenga Zanzibar
MZANZIBARI anaweza kuwa Rais Tanganyika lakini Mtanganyika hawezi kuongaza Zanzibar Kwa cheo chochote lakini Tanganyika wapo tele
Idadi ya wa Zanzibar waliopo kwenye vyombo Cha ulinzi na usalama ni kubwa kwauwiano wa idadi ya watu Zanzibar na Tanganyika,. Me hayo yote hatuyaoni au tumejizima data.
Hate is a disease. U need a doctor my friend.
 
Kama una hela yako hata dubai utanunua nyumba.
Tusiandikie mate.

Embu leo vuka Zanzibar nenda kanunue shamba la eka5 halafu lete mrejesho wa hati halali za umiliki wa aridhi.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom