ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Samia hawezi kuwa driven kwenye zizi la nyumbu,just understandUmekosa hoja.
Futseke!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia hawezi kuwa driven kwenye zizi la nyumbu,just understandUmekosa hoja.
Futseke!
Bora kuendeshwa na mihemko yako kuliko kuendeshwa tu na watu.Samia hajawahi ondoshwa kwenye reli mtaropoka weee na mwisho wa siku mtakausha na hakuna kilichobadikika cc DP World,Masai nk.
Samia Huwa hakurupuki na Wala Huwa haendeshwi na mihemko,inashangaza Hadi Leo hii hamjajua saikolojia yake.
Siyo ekari 5 mkuu, hata miguu 20 kwa 20 hupewi. HAIRUHUSIWI.Tusiandikie mate.
Embu leo vuka Zanzibar nenda kanunue shamba la eka5 halafu lete mrejesho wa hati halali za umiliki wa aridhi.
Hakuna cha taratibu, kwani kaanza leo kuogopa kusema? Suala la DPWorld aliufyata kujibu hoja zake mpk leo.Raisi ana taratibu zake,vuta subira mkuu utapata majibu...
Mitini...Samia hajawahi ondoshwa kwenye reli mtaropoka weee na mwisho wa siku mtakausha na hakuna kilichobadikika cc DP World,Masai nk.
Samia Huwa hakurupuki na Wala Huwa haendeshwi na mihemko,inashangaza Hadi Leo hii hamjajua saikolojia yake.
Na wewe ingia kwenye nyasi.Samia hawezi ingia kwenye zizi la nyumbu.Mitini...
Samia haendeshwi na mihemko Wala watu,anaendelea na falsafa yake ya kukaa kimya kama alivyosema wakati wa dp World.Bora kuendeshwa na mihemko yako kuliko kuendeshwa tu na watu.
Kukaa kimya ni bora kwake maana huwa akisema aongee unaweza ukajiuliza kama huyo anayeongea ndio yeye Rais wa nchi kweli au si yeye, sijawahi kuona jambo ambalo amelizungumzia kama rais wa nchi likaeleweka zaidi ya kutia mashaka kama kweli ana taarifa za kutosha na uelewa wake.Samia haendeshwi na mihemko Wala watu,anaendelea na falsafa yake ya kukaa kimya kama alivyosema wakati wa dp World.
Rukeni rukeni kama vyura mkichoka mtatulia na mtaendeoea kumuona ofisini Hadi 2030 😆😆
rais anamambo mengi ya muhimu ya kufanya hawezi kupoteza muda kujibu vijembe vya mitandaoni1. Wafanyakazi wanatema nyongo kuwa rais kakimbia hoja za kikokotoo Mei mosi.
2. Lisu anasema Rais mzanzibari anaouza rasilimali za Tanganyika kwa wajomba zake waarabu.
3. Wanaccm wanalalamikia uamuzi wa CCM kutoa fomu moja tu ya mgombea urais kupitia CCM 2025.
Badala ya kukaa kimya Rais alipaswa kuongea na waandishi wa habari ili kuzitolea maelezo hoja hizi tatu ili kuleta mtangamano ndani na nje ya chama chake na nchi kwa ujumla.
Vinginevyo, Rais anatoa tafsiri kuwa hatoshi, anapwaya na hajui chochote.
View attachment 2983255
lissu anapayuka hovyo nani apoteze muda wakujibu ujinga wake watu tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya wache apayuke akichoka ataenda kulalaMpaka muda muda huu SI Lucas Mwashambwa Wala chiembe waliojitokeza kujibu lissu amebonda utosini
Ha ha haaaaaaSignal za remote toka msoga zimekata...tv imebaki kwenye Station moja tu ya 'Mbuga zetu'.
Mambo mengi yapi kuliko haya ya muhimu?rais anamambo mengi ya muhimu ya kufanya hawezi kupoteza muda kujibu vijembe vya mitandaoni
Je la mtanganyika kuwa rais zanzibar?Mnaongeaaa,mbona watu kibao kutoka bara wana nyumba zanzibar, mnaaminishwa ,na kila anayesema hili muulize yeye kama yeye aliwahi kutaka akanyimwa?? Jibu hana atakwambia wanasema,sasa wanasema na wewe unadakia kitu usichokuwq na uhakika nacho