Anashindwaje kutoka hadharani na kuisafisha hali ya hewa? Amekubali yaishe?

Kabisa, kwanza atatishwaje na jini analo lifuga, hawa akiwanyima ruzuku tu wote kimya
 
Asafishe nini?

Hakuna mtu aloye serious ataacha kuchapa kazi aje kubishana na mental case

Ndio maana magu alikua anawanyoosha mkakosa pa kupumulia

Mh kawapa uhuru, mnautumia vibaya
Bado unamuota jini wako jiwe mpk leo? Kama vipi kazikwe naye Chato!

Huwa kuna muda anakuwa serious huyu mvaa majuba?
 
Uko sahihi mkuu
 
Mnaongeaaa,mbona watu kibao kutoka bara wana nyumba zanzibar, mnaaminishwa ,na kila anayesema hili muulize yeye kama yeye aliwahi kutaka akanyimwa?? Jibu hana atakwambia wanasema,sasa wanasema na wewe unadakia kitu usichokuwq na uhakika nacho
Wewe acha kubwata, kasome katiba ba sheria za Zanzibar.
 
Asafishe nini?

Hakuna mtu aloye serious ataacha kuchapa kazi aje kubishana na mental case

Ndio maana magu alikua anawanyoosha mkakosa pa kupumulia

Mh kawapa uhuru, mnautumia vibaya

Kwa Hizi Akili, Tunayo Safari Ndefu Sana Kufikia “Maendeleo ya Kweli”
 
Bado unamuota jini wako jiwe mpk leo? Kama vipi kazikwe naye Chato!

Huwa kuna muda anakuwa serious huyu mvaa majuba?
Hate crime

Hate crime
 
upotoshaji hauna maana wala faida yoyote 🐒
 
Hate is a disease. U need a doctor my friend.
 
Atawatuma akina Steve Nyerere kujibu hoja
 
Reactions: G4N
Kama una hela yako hata dubai utanunua nyumba.
Tusiandikie mate.

Embu leo vuka Zanzibar nenda kanunue shamba la eka5 halafu lete mrejesho wa hati halali za umiliki wa aridhi.
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…