busarakumkichwa
Member
- Jul 20, 2024
- 46
- 49
Itakua amekosa za ualimuKwanini yoyote na si ya ualimu?!
Pia natakaItakua amekosa za ualimu
Ametafuta sana ila amesomea special education somo la kufundishia kiswahili japokuwa history anaweza fundisha.Kwanini yoyote na si ya ualimu?!
DodomaAnaishi wapi ?
Hajui ms. WordKama ana uwezo mzuri sana wa kuzungumza kiingereza, anajua kutumia Ms. Word vizuri na yupo tayari kuishi Dar, nicheki DM.
Mwalimu ngazi ya degree hajui Ms word??? Serious??Hajui ms. Word
Ndo hajui sasa au udanganywe? Labda amuelekezeMwalimu ngazi ya degree hajui Ms word??? Serious??
Sidhani boss! Kamuulize vizuri! Maana presentation na assmt alikuwa anatumia nini??Ndo hajui sasa au udanganywe? Labda amuelekeze
Sidhani boss! Kamuulize vizuri! Maana presentation na
Mm ndo ninaeomba,, sikuwahi kumiliki laptop nilikuwa naziona kwa wenzangu hata kazi nilikuwa na type kwa cm kwny app ya wps na kwenda kutoa stationary .Sidhani boss! Kamuulize vizuri! Maana presentation na assmt alikuwa anatumia nini??
Ms. Word is very easy and simple . to use .Ndo hajui sasa au udanganywe? Labda amuelekeze