busarakumkichwa
Member
- Jul 20, 2024
- 46
- 49
Msichana wa miaka 25 anatafuta kazi yeyote ya halali elimu degree ya ualimu, lakini anafanya kazi yeyote mama lishe, restaurant, usafi yaani yeyote ile ya halali ambayo mwanamke anaweza fanya hata loan officer.Itapendeza kazi ikiwa dodoma , Dar au mkoa wa pwani ila kwengine kokote anafanya. Kwa mwenye kazi naomba aweke namba yake kwenye comment au aweke comment nimfate pm. Kazi za ndani na baa medi hapendelei, asanteni.