ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Uliliona wapi🤔 kuna ushuhuda unatakiwa utupeHata akimpta ambaye ni Neg. Wakielewana, wanapiga iyo nyama nyama 🙂🙂 Na mwenzake anakua Salama tu. Nimeshuhudia hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliliona wapi🤔 kuna ushuhuda unatakiwa utupeHata akimpta ambaye ni Neg. Wakielewana, wanapiga iyo nyama nyama 🙂🙂 Na mwenzake anakua Salama tu. Nimeshuhudia hili
Haya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee😁😁😁Hata akimpta ambaye ni Neg. Wakielewana, wanapiga iyo nyama nyama 🙂🙂 Na mwenzake anakua Salama tu. Nimeshuhudia hili
Unataka tutoe taarifa za Wateja? 😥😥Uliliona wapi🤔 kuna ushuhuda unatakiwa utupe
Mwenzako huyo ndo ameyaleta😂Haya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee😁😁😁
Nina D mbili nishakuelewa😉Unataka tutoe taarifa za Wateja? 😥😥
Mwenzangu tena😁😁😁Mwenzako huyo ndo ameyaleta😂
Kuna kitu umewaambia hawa🙄Mwenzangu tena😁😁😁
Kitu gani?Kuna kitu umewaambia hawa🙄
Ila anaweza kupata mtu na akaolewa .Maskini...
Dah
Sure..hata akiwa -ve fresh kikubwa kuzingatia wanachoshauriwa na doctorsIla anaweza kupata mtu na akaolewa .
Ila hapo wataishi kwa wasiwasi , unajua mapenzi yanahitaji kujiachia kwa uhuru.Sure..hata akiwa -ve fresh kikubwa kuzingatia wanachoshauriwa na doctors
ipo mkuu wala sio uongo nimeshuhudia mimi! Ukitaka ushahidi njoo pmUliliona wapi🤔 kuna ushuhuda unatakiwa utupe
TaQo lipo?Hello habari zenu kuna dada anatafuta mchumba HIV positive
Sifa zake
Muislam very religious
Umri 23
Mahali alipo mtwara
Vigezo vyake
Awe muislam
Asizidi miaka 40+
Kama utakua interested unaweza kunifata PM nikakupa mawasiliano nae
Akizingatia dawa tu.. mana inatakiwa kuwe na viral load suppressed! Wadudu wakipigwa vizur na dawa wakawa chini ya 1000 hawez kumuambukiza mwenzaHaya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee😁😁😁
Amejiweka wazi ili kuepuka lawama za kwamba mbona hukusema kama wewe ni +ve.Kwamba hataki HIV negative? Hebu ajiamini Allah( subhana huwataala ) atamfanyia wepesi kuna watu hawana ukimwi lakini wapo tayari kuishi na ambaye ana ulimwi kikubwa afuate dozi kwa usahihi tu.