Anatafuta mchumba ni HIV positive miaka 23 mtwara muislam

Anatafuta mchumba ni HIV positive miaka 23 mtwara muislam

Ila hapo wataishi kwa wasiwasi , unajua mapenzi yanahitaji kujiachia kwa uhuru.
Min wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the game
ila kama mwanamke ni -ve then mwanaume ni + Huwa inaleta ukakasi
kidogo
 
Mleta mada na huyo dada wote akili hawana udini utawaua mimi demu akishasema oh nataka niolewe na muislamu au lazima asilimu napiga nasepa na gia namba 3
 
Min wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the game
ila kama mwanamke ni -ve then mwanaume ni + Huwa inaleta ukakasi
kidogo
Hapo mnaweka utelez wa kutosha. Alaf mm naona sisi vibamia kama hatupati hiv mana hatusabibish mchubuano
 
Min wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the game
ila kama mwanamke ni -ve then mwanaume ni + Huwa inaleta ukakasi
kidogo
😁😁😁😁
 
Hapo mnaweka utelez wa kutosha. Alaf mm naona sisi vibamia kama hatupati hiv mana hatusabibish mchubuano
Hapo anapaswa kutumia dawa za ARV kisawa sawa ili kudhibiti utengenezwaji wa copy mpya za virusi, pamoja na kuongezeka kwa ukubwa wa maambukizi. Virus Wanaofikia kiwango cha chini kabisa cha copy za VVU hukosa sifa ya kuambukiza...
 
Nipo makini kanyamwi na wewe pia uwe makini 😁😁
Nipo makini min😁 ndo maana nimeamua nitulie na wawili tu...
Na reree akija Leo nampima hata kama Hana atavaa...soksi mpaka pale ntakapo jiridhisha...
 
Nipo makini min😁 ndo maana nimeamua nitulie na wawili tu...
Na reree akija Leo nampima hata kama Hana atavaa...soksi mpaka pale ntakapo jiridhisha...
😁😁😁 wawili wanakutosha kanyamwi , mmoja akizingua nipo pale nasubiri nafasi😜😜😜
 
Back
Top Bottom