Uliliona wapi๐ค kuna ushuhuda unatakiwa utupeHata akimpta ambaye ni Neg. Wakielewana, wanapiga iyo nyama nyama ๐๐ Na mwenzake anakua Salama tu. Nimeshuhudia hili
Haya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee๐๐๐Hata akimpta ambaye ni Neg. Wakielewana, wanapiga iyo nyama nyama ๐๐ Na mwenzake anakua Salama tu. Nimeshuhudia hili
Unataka tutoe taarifa za Wateja? ๐ฅ๐ฅUliliona wapi๐ค kuna ushuhuda unatakiwa utupe
Mwenzako huyo ndo ameyaleta๐Haya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee๐๐๐
Nina D mbili nishakuelewa๐Unataka tutoe taarifa za Wateja? ๐ฅ๐ฅ
Mwenzangu tena๐๐๐Mwenzako huyo ndo ameyaleta๐
Kuna kitu umewaambia hawa๐Mwenzangu tena๐๐๐
Kitu gani?Kuna kitu umewaambia hawa๐
Ila anaweza kupata mtu na akaolewa .Maskini...
Dah
Sure..hata akiwa -ve fresh kikubwa kuzingatia wanachoshauriwa na doctorsIla anaweza kupata mtu na akaolewa .
Ila hapo wataishi kwa wasiwasi , unajua mapenzi yanahitaji kujiachia kwa uhuru.Sure..hata akiwa -ve fresh kikubwa kuzingatia wanachoshauriwa na doctors
ipo mkuu wala sio uongo nimeshuhudia mimi! Ukitaka ushahidi njoo pmUliliona wapi๐ค kuna ushuhuda unatakiwa utupe
TaQo lipo?Hello habari zenu kuna dada anatafuta mchumba HIV positive
Sifa zake
Muislam very religious
Umri 23
Mahali alipo mtwara
Vigezo vyake
Awe muislam
Asizidi miaka 40+
Kama utakua interested unaweza kunifata PM nikakupa mawasiliano nae
Akizingatia dawa tu.. mana inatakiwa kuwe na viral load suppressed! Wadudu wakipigwa vizur na dawa wakawa chini ya 1000 hawez kumuambukiza mwenzaHaya mambo ya nyama nyama ,semeni taratibu asee๐๐๐
Amejiweka wazi ili kuepuka lawama za kwamba mbona hukusema kama wewe ni +ve.Kwamba hataki HIV negative? Hebu ajiamini Allah( subhana huwataala ) atamfanyia wepesi kuna watu hawana ukimwi lakini wapo tayari kuishi na ambaye ana ulimwi kikubwa afuate dozi kwa usahihi tu.