Mambo ya kupeana utamu kwa wasiwasi kama digidigi porini hapana mkuu.Akizingatia dawa tu.. mana inatakiwa kuwe na viral load suppressed! Wadudu wakipigwa vizur na dawa wakawa chini ya 1000 hawez kumuambukiza mwenza
Min wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the gameIla hapo wataishi kwa wasiwasi , unajua mapenzi yanahitaji kujiachia kwa uhuru.
Hapo mnaweka utelez wa kutosha. Alaf mm naona sisi vibamia kama hatupati hiv mana hatusabibish mchubuanoMin wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the game
ila kama mwanamke ni -ve then mwanaume ni + Huwa inaleta ukakasi
kidogo
😁😁😁😁Min wanaishi believe me...Tena kama ni mwanaume ndo _ve ni easy kabisa... Coz mwanaume ndo anakuwa kontawa of the game
ila kama mwanamke ni -ve then mwanaume ni + Huwa inaleta ukakasi
kidogo
Min take care.. HIVI is really 🥺😁😁😁😁
Nipo makini kanyamwi na wewe pia uwe makini 😁😁Min take care.. HIVI is really 🥺
Hapo anapaswa kutumia dawa za ARV kisawa sawa ili kudhibiti utengenezwaji wa copy mpya za virusi, pamoja na kuongezeka kwa ukubwa wa maambukizi. Virus Wanaofikia kiwango cha chini kabisa cha copy za VVU hukosa sifa ya kuambukiza...Hapo mnaweka utelez wa kutosha. Alaf mm naona sisi vibamia kama hatupati hiv mana hatusabibish mchubuano
Shenzi kabisa😂😂Kweli bora atafute + mwenzake ili wapige kitu cha nyama kwa nyama
Nipo makini min😁 ndo maana nimeamua nitulie na wawili tu...Nipo makini kanyamwi na wewe pia uwe makini 😁😁
😁😁😁 wawili wanakutosha kanyamwi , mmoja akizingua nipo pale nasubiri nafasi😜😜😜Nipo makini min😁 ndo maana nimeamua nitulie na wawili tu...
Na reree akija Leo nampima hata kama Hana atavaa...soksi mpaka pale ntakapo jiridhisha...
Sidhani Kama atatokea mzinguaji😁😁😁 wawili wanakutosha kanyamwi , mmoja akizingua nipo pale nasubiri nafasi😜😜😜
Na mimi nataka nisichomoke😪😪Sidhani Kama atatokea mzinguaji
Anga zangu nazijua mwenyewe...ukiingia huchomoki😊
Nita ku enrollNa mimi nataka nisichomoke😪😪
😁😁😁😁😁S
Nita ku enroll
Ila ngoja nijifikirie kwanza...
😌😌
Umekuaje tena mdogo wangu mbona stake Kwa stake tenaKweli bora atafute + mwenzake ili wapige kitu cha nyama kwa nyama
Wewe hupendi🤔Umekuaje tena mdogo wangu mbona stake Kwa stake tena
Sitamani hata kuskia kuna UTI, gono & fungus utafakamia madawa kama njugu bora utinge rough riderWewe hupendi🤔
Rough rider ni kondomu, ila ipoje?Sitamani hata kuskia kuna UTI, gono & fungus utafakamia madawa kama njugu bora utinge rough rider