ANATAFUTWA: Michael Juma anatafutwa na mwanae. Alikuwa askari magereza, mkazi wa Masasi na Mtwara mjini

ANATAFUTWA: Michael Juma anatafutwa na mwanae. Alikuwa askari magereza, mkazi wa Masasi na Mtwara mjini

Nimeeleza hivyo kuwaonesha uhalisia wa eneo alilozaliwa,wala hakuna ubaya wowote.
Pole Sana ndugu jitahidi usikate tamaa utampata ndugu yako dam nzito kuliko maji!
Fanya marifa utembele na mtwara !
 
Pole Sana ndugu jitahidi usikate tamaa utampata ndugu yako dam nzito kuliko maji!
Fanya marifa utembele na mtwara !
mtwara nilikuwa huko mwaka 2013-nilikuwa naishi mtaa wa railway ,bahati mbaya taarifa sahihi juu ya hili sikuwa nazo hadi huyu ndugu yangu aliponijuza mwaka 2018.Tunapanga kwenda alipokuwa anafanyia kazi pia tupate usaidizi zaidi licha ya kuwa tulikuwa tumeshaenda kipindi cha nyuma na pia tutaelekea masasi tukishapata taarifa sahihi.Asante sana ndugu,Mungu akubariki sana.
 
Alizaliwa musoma miaka ya 1979-1980.Baba yake anaitwa Juma Michael.Mzee Juma alikuwa askari magereza-Musoma miaka ya 1980 na mkazi wa mtwara.Mama yake Anna alikuwa ni mnyiramba wa singida.Kama kuna mtu anamjua au yeye mwenyewe yupo naomba tuwasiliane anaweza kusaidia kupatikana kwa taarifa za mzazi wake mzee Juma,ambaye anatafutwa na kijana wake.
picha tafadhali
 
picha tafadhali
Asante ,ukisoma kwa makini utona kuwa Anna na baba yake waliondoka musoma kipindi cha miaka ya 80s hivyo picha zao hatuna,pia tunatumia maelezo kutafuta namna ya kuwapata kwani wenda kupitia simulizi hii kuna mtu anaweza kuwa anawajua
 
Binafsi niwashukru wote mliokuwa mnachangia huu uzi toka mwaka juzi.Wengi niliwasiliana nao ili kupata msaada.Ikimbukwe mzee Juma Michael alikuwa ni askari magereza miaka ya 1980s katika gereza la musoma.Na alikuwa na mke jina lake MAMA ANA-mnyiramba(Singida) baadae miaka ya 1987 hivi akiwa ameacha kazi na kujishugulisha na ufundi seremala hapa musoma na mwishowe alirudi kwao Mtwara ingawa alikuwa anadai wazazi wake walikuwa wenyeji wa masasi.Sababu kubwa iliyopelekea kumtafuta ni kuwa muda huo akiwa askari alizaa mototo ambaye muda wote amekuwa akimtafuta ili tu japo amwone baba yake na kwa sasa kijana ni mtu mkubwa(1981s-alizaliwa),mtumishi na mtu wa familia.Mpaka sasa hatujafanikwa kumpata,tunaomba yoyote mwenye taarifa sahihi atupe.Na ikwa mke wake au binti yake ANNA wanaweza kuwa hau yeyote yule mwenye kuwa na A,B ,C za maelezo haya naomba atusidie.ASANTENI
 
Anzia makao makuu ya magereza wanaweza kuwa na details zake na kama ni mstaafu fuatilia kwenye hii mifuko ya kijamii, Vilevile unaweza kuanzia uchunguzi wako hapo magereza Musoma.
 
Anzia makao makuu ya magereza wanaweza kuwa na details zake na kama ni mstaafu fuatilia kwenye hii mifuko ya kijamii, Vilevile unaweza kuanzia uchunguzi wako hapo magereza Musoma.
nilishafanya yote na kufika hapo alipokuwa anafanya kazi,lakini sikuwezapata msaada wa kutosha,inaonekana hapo awali mfumo wa kutunza kumbukumbu ulikuwa na shida. NITAENDA MAKAO MAKUU -DAR
 
Habari wana jf? natumai mko wazima.Niende moja kwa moja,Mzee Juma michael ni mzaliwa wa mkoa wa mtwara,wilaya ya masasi.Miaka ya 1978s aliwahi kufanya kazi kama askari magereza wilaya ya Musoma,katika gereza la musoma.Miaka hiyo hiyo alipata kuoa Mama mmoja(Mnyiramba)-singida na alibahatika kuzaa nae mtoto alikuwa anaitwa ANNA.Kwa bahati mbaya mke wake huyu hatukupata jina lake kamili,ila alikuwa anajulikana kama mama ANNA.KWenye miaka ya 1982s alipata mtoto mwingine kwa mama mmoja mwenyeji wa Musoma Vijijini na alikuwa anaitwa MONIKA(Huyu alizaa naye tu hakumuoa),akawa amepata mtoto wa kiume.Mwaka 1983 inasadikika aliacha kazi na kuanzisha karakana yake binafsi hapo musoma ya ufundi seremala.Badae alirudi kwao kwenye miaka ya 1985.Mwaka jana nilianza kuleta hapa mada hii na nilipata ushirikinao mkubwa sana toka kwa members wa jf,isipokuwa kwa wachache huwa hawakosi kuvuruga,ASANTENI.

KWA NINI ANATAFUTWA? Kiufupi kijana wake ambaye alimzaa na mama wa musoma vijijini(ANGALIA HAPO JUU) ndo anamtafuta kwani hamjui na pia anaitaji kumuona baba yake ili kama yuko hai hamsaidie.Kwa mjibu wa huyu mama wa ndugu yangu(anayemtafuta mzee juma/baba yake),mzee alikuwa anatamka mara kwa mara kuwa wazazi wake walihamia mtwara kutokea wilaya ya masasi.

TULIPOFIKA KATIKA KUMTAFUTA YEYE AU ATA UZAO WAKE(WANAE);Awali tulipata mawasiliano wa member wenzetu kuwa alikuwa wilaya ya mbozi na tulifatilia kila kitu lakini hatukumpata,kwani hakuwa siliasi(alitaka tu pesa),pili tulifika kwa mwajili wake alipokuwa akifanya kazi awali, pia kwa maelezo yao hatukweza pata data za miaka hiyo,pia tumeshafika kijiji cha ziwani-mtwara pia alituelekeza mtu kuwa kuna mtu ananyefanana jina na mzee,pia hatukumpata.Zaidi pia kuwa rafiki yetu yuko wilaya ya msasi alifika kijiji cha LUSATO pia tulialifiwa kuwa anaweza patikana lakini hatumkumpa.

OMBI KWA WANA JF:Tunaomba tena kwenu kuendelea kusaidia kumsaka mzee wetu,pia hata kama hayupo hai watoto wake ambao naamini kufikia miaka hii ni watu wazima kama huyu ANNA,ambaye ndiye ametajwa kuwa ndiye mwanae mkubwa anaweza jitokeza ili tuwasiliane KWANI YEYE ANA AU WATOTO WAKE WENGINE kama aijaliwa tena waneza kuwa members humu wakasoma hii mada na kuielewa.PIA kwa yeyote ambaye atapata kumjua huyu mtu baada ya maelezo ya hapo juu anaweza kutusadia.Mawasiliano 0762364740.MUNGU AWABARIKI.
 
KWA NINI ANATAFUTWA? Kiufupi kijana wake ambaye alimzaa na mama wa musoma vijijini(ANGALIA HAPO JUU) ndo anamtafuta kwani hamjui na pia anaitaji kumuona baba yake ili kama yuko hai hamsaidie.Kwa mjibu wa huyu mama wa ndugu yangu(anayemtafuta mzee juma/baba yake),mzee alikuwa anatamka mara kwa mara kuwa wazazi wake walihamia mtwara kutokea wilaya ya masasi.

Mkuu nadhani hapo kwenye msaada ndio kwenye maana na kutapelekea mtu kupatikana au la..., huo msaada ni mtoto ndio anataka amsaidie mzee wake kama yupo hai.., au mtoto anahitaji msaada kutoka kwa huyu mzee kama yupo hai ?

Unajua haya mambo huenda huko ana familia nyingine wakiona hivi wanaweza wakaogopa kugawana kilichopo...
 
Mkuu nadhani hapo kwenye msaada ndio kwenye maana na kutapelekea mtu kupatikana au la..., huo msaada ni mtoto ndio anataka amsaidie mzee wake kama yupo hai.., au mtoto anahitaji msaada kutoka kwa huyu mzee kama yupo hai ?

Unajua haya mambo huenda huko ana familia nyingine wakiona hivi wanaweza wakaogopa kugawana kilichopo...
Mkuu mtoto anaitaji kumsadia mzee wake kama atapatikana
 
Back
Top Bottom