National Anthem hajawahi kuwa fala ana kamuendelezo ka vyuzi vyake flani strange najua ANA jambo lake.Jomba hii kitu naona ni neshino mwenyewe nini anataka kuaga ukapera kiaiana unajua sijaamini...
Ila Sasa kigezo ni yoyote anayepumua ndo uwiii ilipo hapo
Shem wine gani inashuka zaidi kwakoHahaa .nna raha ghafla..nakuja na beg lenye nguo...nitangulize zingine ....awe ananinunulia tu walau wine najisokotea ndani mie🤣🙌
😅😅😅😅... jamaa sio wa kiutani utani yupo serious, namuonesha hapa comment alivyosoma na jina akasema hapa ndio penyewe wife si ndio huyu sasaaa... jamaa ameishakuelewa na yeye.. anasubiri tu respond yakoHahaa .nna raha ghafla..nakuja na beg lenye nguo...nitangulize zingine ....awe ananinunulia tu walau wine najisokotea ndani mie🤣🙌
Bila shaka ww na mwenzio ni madomo zege, unatafutaje mke mtandaoni wakati mtaani madem kibao? Mnapenda vya rahisi rahisi tu ngoja mpate changudoa [emoji23][emoji23]N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Dah...four cousine...airtel ,tigo, voda, halo?🥱😉Shem wine gani inashuka zaidi kwako
😅😅😅... hamna kitu mkuu.National Anthem hajawahi kuwa fala ana kamuendelezo ka byuzi zaje flani strange najua ANA jambo lake.
Wacuba tutaenda kimya kimya tutaijua destination yake soon😂😂
Choma chomoa😅😅😅😅... jamaa sio wa kiutani utani yupo serious, namuonesha hapa comment alivyosoma na jina akasema hapa ndio penyewe wife si ndio huyu sasaaa... jamaa ameishakuelewa na yeye.. anasubiri tu respond yako
Fala sana...nimekuelewa kuliko😂😂Dah...four cousine...airtel ,tigo, voda, halo?🥱😉
Serious mwambie amepata...ikiwezekana wknd aje kwanza kwangu...maana kodi nayo inakaribia kukata....aje tu....siendi tena uturuki aise😅😅😅😅... jamaa sio wa kiutani utani yupo serious, namuonesha hapa comment alivyosoma na jina akasema hapa ndio penyewe wife si ndio huyu sasaaa... jamaa ameishakuelewa na yeye.. anasubiri tu respond yako
Yaah huyo mtaalam namfaham yuko vizuri sana🤣🤣🤣😅😅😅... hamna kitu mkuu.
mtaalamu anataka jiko.. yupo serious sanaa..
Tena nakubeep...🥱✌🚶♀️Fala sana...nimekuelewa kuliko😂😂
Orodhesha vyote;Serious mwambie amepata...ikiwezekana wknd aje kwanza kwangu...maana kodi nayo inakaribia kukata....aje tu....siendi tena uturuki aise
Nimekutxt....Unachelewa😅
we fanya hivyo achana na hizo mamboUtaota usiku
No unayopiga haipo...khaa...umebadili?Orodhesha vyote;
Gas
Kodi
Birthaday loading
Mama mgonjwa
Mdogo ako amekosa ada.
........endeleza🤣
Gesi inaishia ..Orodhesha vyote;
Gas
Kodi
Birthaday loading
Mama mgonjwa
Mdogo ako amekosa ada.
........endeleza🤣
Neshino anataka mwenza yaani awe WA kike tu...hataki mambo mengi...National Anthem hajawahi kuwa fala ana kamuendelezo ka vyuzi vyake flani strange najua ANA jambo lake.
Wacuba tutaenda kimya kimya tutaijua destination yake soon😂😂
Eeeh Yani Kwa udi na uvumba?unipe kazi hata ya kuwa nachukua kazini jioni na kukurudisha nyumbani.. nina ka Uber hapa nipe mchongo
Hapana kipenzi, nichakate ipi Tena wakati kwako nishatosheka kwa kila halii. Missed you🌹Sijawasiliana nae uskute kajfungia anachakata siku nzima
Siku hz matron na patron sio lazima wawe mke na mumeMume yupo?