Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Jomba hii kitu naona ni neshino mwenyewe nini anataka kuaga ukapera kiaiana unajua sijaamini...
Ila Sasa kigezo ni yoyote anayepumua ndo uwiii ilipo hapo
National Anthem hajawahi kuwa fala ana kamuendelezo ka vyuzi vyake flani strange najua ANA jambo lake.

Wacuba tutaenda kimya kimya tutaijua destination yake soon😂😂
 
Hahaa .nna raha ghafla..nakuja na beg lenye nguo...nitangulize zingine ....awe ananinunulia tu walau wine najisokotea ndani mie🤣🙌
😅😅😅😅... jamaa sio wa kiutani utani yupo serious, namuonesha hapa comment alivyosoma na jina akasema hapa ndio penyewe wife si ndio huyu sasaaa... jamaa ameishakuelewa na yeye.. anasubiri tu respond yako
 
N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.

Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..

Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.

Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .

Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Bila shaka ww na mwenzio ni madomo zege, unatafutaje mke mtandaoni wakati mtaani madem kibao? Mnapenda vya rahisi rahisi tu ngoja mpate changudoa [emoji23][emoji23]
 
😅😅😅😅... jamaa sio wa kiutani utani yupo serious, namuonesha hapa comment alivyosoma na jina akasema hapa ndio penyewe wife si ndio huyu sasaaa... jamaa ameishakuelewa na yeye.. anasubiri tu respond yako
Serious mwambie amepata...ikiwezekana wknd aje kwanza kwangu...maana kodi nayo inakaribia kukata....aje tu....siendi tena uturuki aise
 
Back
Top Bottom