Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Mie nimewaponda wapi jamani wakati mie najisema zangu tuu. Sasa nyie kama mnaichukua kuwa serious hiyo ni mitizamo yenu.
Dont have an emotional reaction to things posted on the internet bwana😝
We si unatuponda. Dawa kukushusha mshipa
 
Kijana, muda si mrefu si wewe ndo umetoka kutangaza 'Death warrant' kwa kila unaemnyandua, vp tena unataka utumalizie warembo na maajuza wetu humu pia?
 
Eeeh Yani Kwa udi na uvumba?
My friend ni hii baridi tu ikiisha utakuja futa huu Uzi hahhahaah
vipi rafiki jioni.. karibu hapa tupate hata tangawizi . vipi hujaanza zoezi la kukimbia niwe nakupitia asubuhi 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…