Unataka uje unitangazewe fanya hivyo achana na hizo mambo
Semaga ukwel we mwanaume na simu umezimaHapana kipenzi, nichakate ipi Tena wakati kwako nishatosheka kwa kila halii. Missed you🌹
Alafu National Anthem acha uchokozi😊😊
Mama Elisha umesimamia ngapi sasa😂Siku hz matron na patron sio lazima wawe mke na mume
Me namsaidia mshkaji kupata jiko baridi kali ujueMama Elisha umesimamia ngapi sasa😂
Mamii I was real occupied today. Hivi nilishawahi kukudanganya mie.....?😊Semaga ukwel we mwanaume na simu umezima
Una ujinga sana ujue🤣Me namsaidia mshkaji kupata jiko baridi kali ujue
We si unatuponda. Dawa kukushusha mshipa
Hii baridi ukijichanganya tu unaoa....yaani hadi duvet halifui dafuUna ujinga sana ujue🤣
Usinihukum kabla hujanipa nafasUnataka uje unitangaze
Kijana, muda si mrefu si wewe ndo umetoka kutangaza 'Death warrant' kwa kila unaemnyandua, vp tena unataka utumalizie warembo na maajuza wetu humu pia?N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Mbona husemi walio olewa ma Elisha😂Hii baridi ukijichanganya tu unaoa....yaani hadi duvet halifui dafu
Mliooa mna raha sana
Nmewaunganisha hapoMbona husemi walio olewa ma Elisha😂
Kumetokea nini tena ,🫣Mamii I was real occupied today. Hivi nilishawahi kukudanganya mie.....?😊
Oya National Anthem umeyataka huku njoo usuruhishe maana naona mkalia ini amepanic hapa😩
vipi rafiki jioni.. karibu hapa tupate hata tangawizi . vipi hujaanza zoezi la kukimbia niwe nakupitia asubuhi 😊Eeeh Yani Kwa udi na uvumba?
My friend ni hii baridi tu ikiisha utakuja futa huu Uzi hahhahaah
Wanajua Babu yao sina mambo mengi, Babu nimezeeka kila kitu 😅🏃🏃🏃Nimecheka sana Anne🤣🤣 kwa hiyo mimi, mzabzab, National Anthem na Mzee wa kupambania unatuonaje?🤣🤣. Haya muongeze mzee mwenzangu Grahams ili tukamilishe "utano mtukutu"!
tuambie kwako wapi tuje hata sasa hivi 😅😅Serious mwambie amepata...ikiwezekana wknd aje kwanza kwangu...maana kodi nayo inakaribia kukata....aje tu....siendi tena uturuki aise
Bunju b😊..pitieni na ka wine shangazi nipate kulala😊tuambie kwako wapi tuje hata sasa hivi 😅😅