Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende Mkoa wowote.Ajenge nyumba nyumba kama zote za kupangisha.Abakize mtaji arudi tena shambaSi kwamba hajui hesabu anashindwa kuamua afate lipi na ujue hofu huenda akaacha mambo yakaenda vbaya;
Akili kubwa hiiKama mm ningekua yeye kwanza hiyo mil 180 ningeitupia Utt mfuko wa liquid then nikaenda bank nikachukua mkopo wa hiyo hela ambapo wangenipa 80% ya mil 180 ambayo ni kama mil 140 nikaacha utt na bank walipane marejesho huku nikijua wakimaliza pesa yangu mil 180 ipo palepale.sasa basi huo mkopo wa mil 140 ningehakikisha nahakikisha nawekeza ktk maji kupatikana shamban sabab nikiwa na trekta + maji nakua sina hofu tena so kama kisima ningechimba au kuvuna maji ningevuna.then nikalima ekari 100 na ekar 100 zingine ningekodisha pesa ya kukodisha ndo ingesaidia kuhudumia shamba ninalolima
So sabab nina maji ningekua nalima mara2 kwa mwaka mazao tofauti tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweliUkitaka kuwa maskini nchi hii kuwa mkulima.
Huo mshahara wake hata housegirl aliyefeli darasa la nne akaenda Oman hamfikii na degree yake ya ualimu.
Maisha hayana formula aache kusita sita mwambie akamate jembe hasa,japo huko napo Sio rahisi kihivyo akipigwa changamoto asikumbukie mshahara wa mwezi wa ualimu
Ujinga gani mkuuAcha ujinga mtoa uzi
Mbona yako mengi tu sema ni mashamba pori mkuu.Wapi huko??, Naomba nicheki 0717700921 nikipata kwa bei hiyo nitakuachia hela kidogo