Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Masanja ana hela gani?

Unafananisha kilimo Cha Mo mwenye heka zaidi ya mkoa na biggest sisal producer duniani na wewe mwenye hela 2 na kutegemea mvua? Jichanganye ufurahie show.

Ukitaka kuwa fukara nchi hii kuwa mkulima.
Kwa intlijensia yang ndogo nahs huyu anayetangaza ukitaka kuwa maskn kuwa mkulima yeye ni mkulima Tena mwenye mafanikio makubwa! Alshaona neema iliyojfcha ardhin hatak weng tufanikiwe ili tubaki madkin wa kutupwa! Nmefanya biashara mbal mbal ila sjaona iliyonpa kipato km kilimo! Kilimo kinakufanya upge hatua kubwa kubwa na hv naandka nko field navuna mpunga wangu haitatokea mtu ankatishe tamaa, nalima kw kutegemea mvua cmwaglii bado najivunia
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Me nashauri aende navyo vyote hivyohivyo atafika tu
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Huyo jamaa yako kama mpaka muda huu atakuwa hajachukua maamuzi magumu ya kuacha hiyo kazi inayo dhrauliwa mpaka na wendawazimu wanao okota makopo barabarani, basi atakuwa ni kilaza wa mwisho kabisa duniani.

Yaani unaingiza mpaka milioni 180 kwa mwaka, halafu bado unakubali kutumikishwa kwa mshahara wa laki 6 kwa mwezi?

Jambo la msingi hapo asiongeze ukubwa wa shamba ndani ya muda mfupi. Badala yake atumie sehemu ya faida aliyopata kununua kiwanja maeneo mazuri na kujenga nyumba za biashara mfano za kupangusha, Lodge, nk. Hizo nyumba ndizo zitakazompa ulinzi pale itakapotokea kilimo kikamyumbisha.
 
Mwalimu MARCH, JUNE, SEPTEMBER NA DECEMBER ana mapumziko watoto wakifunga nae automatic anapumzika mbona ni muda mzuri tu wa kufanya shughuli za shamba. Au shamba linamuhitaji siku 365 na masaa yake???
Bado kuna zile off off unazoweza kuamua kujipa mwenyewe, ukiwa vizuri na mkuu wako unaweza....au basi .

Mimi kama mimi ningemwambia aendekee na shamba huku anaendelea kupata huo mshahara
Ajira muda mwingine ni umaskini mkuu. Tunakubaliana na mawzo yako. Mm nalipa 300k kama intern Kwa mwezi lakin hii hela ni chini ya kiwango ninachopata kariakoo Kwa siku. Jumamos Moja napata mpaka 45k... Unafrkiria mm nawaza nn Kwa sasa?
 
Ujue kilim0 kina msimu kuna wakati kinakukubali kuna wakati kinakukataaa....Mimi nimelima sana ila kwasasa kimenikataa napanda vizuri natumia garama kubwa ila kimenikataa kabisaa...nimekaa na wakulima wengi wameniambia pia wa0 walikuwa wakulima wakubwa ila kwasasa hata wapande nini hawapati waliv0tarajia...Mwambie asiache ualimu ajigawe huku na huku...kilim0 si0 chakujivunia...
Weka/kuwa na standards.. sio hela yote iishir kilimoni tu. Mbona unaweza uka"conglomerate" investment zako bila shida kaka?
 
Ajira muda mwingine ni umaskini mkuu. Tunakubaliana na mawzo yako. Mm nalipa 300k kama intern Kwa mwezi lakin hii hela ni chini ya kiwango ninachopata kariakoo Kwa siku. Jumamos Moja napata mpaka 45k... Unafrkiria mm nawaza nn Kwa sasa?
Sio tu muda mwingine, ajira ni umasikini....kama hauna vyanzo vingine vya mapato
 
Ujue moyo unaeza kukuelekeza kumbe pabovu mkuu
Kwa jambo kama hili, ukifuata ushauri wa watu ndiyo mwanzo wa kupotea. Unachotakiwa kufanya ni kutafiti wewe mwenyewe na uje na jibu lako. Mazingira na mipango ya watu inatofautiana kabisa. Kuna ambaye akiicha ualimu atafanikiwa. Kuna ambaye atakwama.
 
Afanye haya
Kama ana familia awe na akiba ya kula na kusaza miaka miwili bila kutegemea chochote
Kama Amefika stage hii anaweza kuacha kazi na akaishi kama hata biashara anazotaka kufanya au kilimo kikaja kuzingua ataishi huku akiangalia Usawa wa mbele ila kama hana hela ya akiba asiache sababu ataacha baada ya mwezi atayumba sababu ya hana akiba
Matatizo mengi ya watu kiuchumi yanaanzia kwenye kutokuwa na akiba
Uko sahihi. Nimekumbuka kitabu cha Rich Dad, Poor Dad. Ukitaka maisha yako yawe mazuri ni kujiwekea lengo la kuwa na akiba ambayo unaweza kuitumia kwa kuishi maisha yako ya kila siku angalau kwa miaka miwili na kuendelea bila kufanya kazi. Ukiwa na akiba ya miaka miwili basi una luxury ya kuweza kutumia hiyo miaka miwili ku-maneuver ili upate namna ya kujipatia tena kipato.
 
Huyo jamaa yako kama mpaka muda huu atakuwa hajachukua maamuzi magumu ya kuacha hiyo kazi inayo dhrauliwa mpaka na wendawazimu wanao okota makopo barabarani, basi atakuwa ni kilaza wa mwisho kabisa duniani.

Yaani unaingiza mpaka milioni 180 kwa mwaka, halafu bado unakubali kutumikishwa kwa mshahara wa laki 6 kwa mwezi?

Jambo la msingi hapo asiongeze ukubwa wa shamba ndani ya muda mfupi. Badala yake atumie sehemu ya faida aliyopata kununua kiwanja maeneo mazuri na kujenga nyumba za biashara mfano za kupangusha, Lodge, nk. Hizo nyumba ndizo zitakazompa ulinzi pale itakapotokea kilimo kikamyumbisha.
Muongo huyo story za kusadikika hizo.
Mil 180 kwa mwaka ? Halafu bado uendelee kukomaa na kazi ya mil 6 kwa mwaka? Wakati mpaka unastaafu kazi zaidi ya miaka 30 hupati pension ya mil 180.
 
Sasa kama kwa msimu mmoja anauwezo wa kupata hela sawa au zaidi ya kiinua mgongo baada ya mika 25 serikalini kwanini anapoteza muda hivyo
 
Kama mm ningekua yeye kwanza hiyo mil 180 ningeitupia Utt mfuko wa liquid then nikaenda bank nikachukua mkopo wa hiyo hela ambapo wangenipa 80% ya mil 180 ambayo ni kama mil 140 nikaacha utt na bank walipane marejesho huku nikijua wakimaliza pesa yangu mil 180 ipo palepale.sasa basi huo mkopo wa mil 140 ningehakikisha nahakikisha nawekeza ktk maji kupatikana shamban sabab nikiwa na trekta + maji nakua sina hofu tena so kama kisima ningechimba au kuvuna maji ningevuna.then nikalima ekari 100 na ekar 100 zingine ningekodisha pesa ya kukodisha ndo ingesaidia kuhudumia shamba ninalolima
So sabab nina maji ningekua nalima mara2 kwa mwaka mazao tofauti tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ndio mkuu nakupata, Hii kanuni imekaa kibiashara ila ni physics tupu!
 
Back
Top Bottom