Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Aisee na mimi nimefikiria kama wewe na ninachofikiria huenda ni hadithi ya kufikirika. Hilo suala lilikua sio la kufikiria mara mbili bali au kuja kuuliza uliza hapa bali ni kuchukua maamuzi tuu kama msomi
 
Zipo ndogo Hadi 6M ila nzuri ni zile kubwa za kuanzia 24M plus , asiogope hizo mashine anaweza kukopa hata ya 50M na Bado akabaki na mtaji wake, namshauri aende Benki ya Kilimo watamsadia sana kumshauri na kumpa mkopo, kigezo Chao Cha kupata mtambo wa kusindika Mpunga uwe na Shamba ekari kuanzia 70 wanakumpa Mkopo wa Trecta , wanakujengea warehouse store/ Godauni, Riba ya ni 10% Kwa mwaka, au waone NMB agribusiness department au Nenda EFTA wanatoa mikopo ya matrecta na mitambo bila Dhamana una Deposit25% ya gharama kamili ya chombo husika ribs 16%
Mkuu naomba nkuchek Pm
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Nina haya ya kumshauri;

1. Aachane kabisa na mahesabu ya akina Inspirational speakers. Kwamba nilianza na punje moja ya mchele, sasa ninamiliki magunia laki mbili ya mchele. Hawapo realistic sana. Hawazungumziagi changamoto za shughuri husika.

2. Kama mwaka jana amelima na akapata kiasi alichopa, NA AMEFANYA HAYO AKIWA MFANYAKAZI, kwanini asiendelee na kazi huku akifanya kilimo? Akishazowea au akishajua faida na hasara za kilimo huku akiwa ameshapata uzoefu mkubwa ndo aache kazi na kujikita mazima kwenye kilimo.

3. Kwa sasa anasema eneo analolima halina shida ya mvua, ameshajiandaa na cha kufanya endapo mvua itasuasua..?
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Aendelee na kazi mpaka atpostaafu, maana ndio ilionfikisha alipo,asubiri tuu kustaafu kwa raha
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Kama mm ningekua yeye kwanza hiyo mil 180 ningeitupia Utt mfuko wa liquid then nikaenda bank nikachukua mkopo wa hiyo hela ambapo wangenipa 80% ya mil 180 ambayo ni kama mil 140 nikaacha utt na bank walipane marejesho huku nikijua wakimaliza pesa yangu mil 180 ipo palepale.sasa basi huo mkopo wa mil 140 ningehakikisha nahakikisha nawekeza ktk maji kupatikana shamban sabab nikiwa na trekta + maji nakua sina hofu tena so kama kisima ningechimba au kuvuna maji ningevuna.then nikalima ekari 100 na ekar 100 zingine ningekodisha pesa ya kukodisha ndo ingesaidia kuhudumia shamba ninalolima
So sabab nina maji ningekua nalima mara2 kwa mwaka mazao tofauti tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Na hapa ndipo wahindi wanapotuzidi! Hata angeuza akapata 100m ingetosha kuacha ualimu
 
Asiache kazi kwanza.
Kilimo hakitabiriki.
Unajua Milioni 180 Kuna laki 6 ngapi? Kuna laki 6 mara 300! Yaani hiyo pesa +assets hata msimu uwe mbaya akivuna akauza akapata 40m ukitoa gharama faida ikabaki 20m ni nyingi kwa mwaka ambapo kwenye ualimu kwa mwaka anapata 6m
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Kimsingi huyu jamaa ni tajiri, I wish ningekuwa yeye Wala nisingeomba ushauri kwa yeyote! Kesho ningewasilisha barua ya kuacha kazi 24hrs
 
Aache ualimu. Hio ni pesa nyingi sana, akiwekeza anafika mbali sana.
Afanye ualimu kama hauathiri shughuri zake binafsi.
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Acha uongo wako hivi unafikiri kulima ekari 200 ni mchezo?
 
Ujue kilim0 kina msimu kuna wakati kinakukubali kuna wakati kinakukataaa....Mimi nimelima sana ila kwasasa kimenikataa napanda vizuri natumia garama kubwa ila kimenikataa kabisaa...nimekaa na wakulima wengi wameniambia pia wa0 walikuwa wakulima wakubwa ila kwasasa hata wapande nini hawapati waliv0tarajia...Mwambie asiache ualimu ajigawe huku na huku...kilim0 si0 chakujivunia...
 
Jf mambo mengi sana,yaan mtu anapata mill 180 ambayo ukigawa kwa take-home ya 640k unapata miaka 23+ plus ya kufundisha....afu huyo huyo mtu anaomba ushauri kama aache kazi au aendelee....kama unashindwa kufanya maamuzi ya 640k je hiyo 180mill amewezaje kuipata,
Sina ushauri ila mjitahidi kuleta story zenye uhalisia
 
Back
Top Bottom