Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
mwenyewe bado sielewi anaomba ushauri upi
 
Mwambie akae mwaka mmoja bila kwenda benki kuchukua mshahara. Akiweza kuishi vizuri aache kazi.


Ukweli m180 mashamba na trekta ni mtaji mkubwa. Ila inawezekana mshahara unaplay part katika kufanya hizo mali zisurvive.

Mimi hata m50 tu ualimu kwa heri
mi nliacha kazi na mil 6 benk... na siji kuajiriwa tena
 
Ualimu si taaluma hiyo hata kama akiacha bado anaweza kuja kupata hata private mwambie asiogope kuacha kazi maisha yatasonga tu hata kwa aje. Yaan
 
Nimesoma comments za watu humu JF kama huna msimamo huwezi toboa. Kuna watu wanalaumu kilimo ni umaskini wakati hicho kisa jamaa katusua 180m. Wengine wanalaumu ajira ni umaskini. Sasa mnamshauri nini hapo zaidi ya kumtengenezea jamaa confusion jamaa wa watu. Mimi ningekuwa huyo jamaa ningekaba kote kote kwa muda mfupi. Kwa mfano kama alipiga 180m kwa mwaka. angeweka 100m kwenye kununua hisa kwenye mabenk au fixed accounts. Mwaka mwingine apambane tena aweke 100m. akifanya hivyo kwa miaka mitano atakuwa na zaidi ya 500m. Baada ya hapo ni mwendo wa kuachana na ualimu na kujikita kwenye biashara maana faida ya kila mwaka kwenye hisa tu inatosha kucover basic life necessities.
 
Mil. 180, na kukaa darasani , hivi vitu viwili huwa havikai pamoja. Nashauri aendelee na mil. 180!
 
Hiz za kukoboa mpunga size ndogo inaeza kuwa Bei gan
Zipo ndogo Hadi 6M ila nzuri ni zile kubwa za kuanzia 24M plus , asiogope hizo mashine anaweza kukopa hata ya 50M na Bado akabaki na mtaji wake, namshauri aende Benki ya Kilimo watamsadia sana kumshauri na kumpa mkopo, kigezo Chao Cha kupata mtambo wa kusindika Mpunga uwe na Shamba ekari kuanzia 70 wanakumpa Mkopo wa Trecta , wanakujengea warehouse store/ Godauni, Riba ya ni 10% Kwa mwaka, au waone NMB agribusiness department au Nenda EFTA wanatoa mikopo ya matrecta na mitambo bila Dhamana una Deposit25% ya gharama kamili ya chombo husika ribs 16%
 
Kaa mbali na kilimo.

Zipo ndogo Hadi 6M ila nzuri ni zile kubwa za kuanzia 24M plus , asiogope hizo mashine anaweza kukopa hata ya 50M na Bado akabaki na mtaji wake, namshauri aende Benki ya Kilimo watamsadia sana kumshauri na kumpa mkopo, kigezo Chao Cha kupata mtambo wa kusindika Mpunga uwe na Shamba ekari kuanzia 70 wanakumpa Mkopo wa Trecta , wanakujengea warehouse store/ Godauni, Riba ya ni 10% Kwa mwaka, au waone NMB agribusiness department au Nenda EFTA wanatoa mikopo ya matrecta na mitambo bila Dhamana una Deposit25% ya gharama kamili ya chombo husika ribs 16%
Kaka Hawa efta unawapelekea list ya mitambo kama lengo ni mashine za kukoboa mpunga, kukoboa mahind na kusaga mahind Kisha wanafanya hesabu wanakulipia kwa ww kulpa 25% km malipo y kwanza au za kusaga hazihusiki ni y kukoboa mpunga tu?
 
Nakumbusha jaman mafao ya huyu mtu ni 33% tu ndio atakayopewa anapostaafu ko penshen haitafka hata 70m.
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Sawa tuu awamu ya 6 kilimo.kinalipa na kilimo ni biashara inaweza kukupa pesa nyingi za haraka na Kwa pamoja ukapata mtaji tofauti na hizo kazi za kupimiwa level zako za maisha.
 
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Aingie shamba asiogope.. ajira haijamaliza Kila kitu kwenye maisha. Mm mzee wangu pale Masaki Dr. Xxxxxxx ameacha kazi Ocean road pale udaktari na amejikita kwenye kampuni yake na biashara zake. Hata wabunge wenyewe wanasubiri mana amefungua ofisin mpaka Uganda
 
Kama ana uwezo wa kupata hizo pesa kwa mwaka mmoja kupitia kilimo na anajishauri kwa kuogopa basi hajui analolifanya.

Hiyo pesa inaweza mfanya afungue biashara nyingine za kumuingizia pesa na asijute. Mfano hardware inaweza kumfaa kwa kuanzia 20M tu. Na 60M akawekeza UTT ikawa mbadala wa take home salary ya ualimu kila mwezi. Halafu 100M anairudisha shambani. Baada ya hapo kazi yake itakuwa akitoka shambani anaenda kushinda kijiweni kwake kwenye hardware pale ambapo shughuli hazijambana
 
Back
Top Bottom