Qassy boee
Member
- Nov 6, 2019
- 98
- 88
Elfu sabini kukodi au kuuziwaAmenunua mashamba kusini Bei bado ni ndogo heka haizd 70000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu sabini kukodi au kuuziwaAmenunua mashamba kusini Bei bado ni ndogo heka haizd 70000
Kununua lakn linakuwa por unatoa mitiElfu sabini kukodi au kuuziwa
Tupe mrejesho kidogo maisha yako ya sasa ili tupate mwanga na kumshauri vizuri ndugu yetu huyu.mi nliacha kazi na mil 6 benk... na siji kuajiriwa tena
Upate mil 180 halafu uendelee kusubiria take home ya 640k?Mwalimu MARCH, JUNE, SEPTEMBER NA DECEMBER ana mapumziko watoto wakifunga nae automatic anapumzika mbona ni muda mzuri tu wa kufanya shughuli za shamba. Au shamba linamuhitaji siku 365 na masaa yake???
Bado kuna zile off off unazoweza kuamua kujipa mwenyewe, ukiwa vizuri na mkuu wako unaweza....au basi .
Mimi kama mimi ningemwambia aendekee na shamba huku anaendelea kupata huo mshahara
Mil 180 ni kilimo chenyewe kabisa au ni hiki kilimo cha online? Cha mpapai mmoja unazaa mapapai 20 ukipanda mipapai 20 una mapapai 4000 ukiuza sokoni kila papai unapata milion 2 ukitoa labda garama zako laki 1 unabaki na milion 3, ndio hiki???Upate mil 180 halafu uendelee kusubiria take home ya 640k?
Mkuu hizi ajira za tamisemi ni maalumu kwa sisi watoto wa masikini
Mkuu mashulen Kuna kitu linaitwa remidial, wakifunga mwalimu anatakiwa kufundisha Tena! Na nnavyohc kaz za shamba znamambo meng znataka usimamiz pia kashikash na vitisho kazn ni nyng kuanzia wenyeviti wa vitongoj, wa vjj, wanakijij, watendaj, afsa elimu kata bado wa wilaya! Kiufupi ucpimeMwalimu MARCH, JUNE, SEPTEMBER NA DECEMBER ana mapumziko watoto wakifunga nae automatic anapumzika mbona ni muda mzuri tu wa kufanya shughuli za shamba. Au shamba linamuhitaji siku 365 na masaa yake???
Bado kuna zile off off unazoweza kuamua kujipa mwenyewe, ukiwa vizuri na mkuu wako unaweza....au basi .
Mimi kama mimi ningemwambia aendekee na shamba huku anaendelea kupata huo mshahara
Kaka ni kilimo halis jamaa analima mashamba makubwa sanMil 180 ni kilimo chenyewe kabisa au ni hiki kilimo cha online? Cha mpapai mmoja unazaa mapapai 20 ukipanda mipapai 20 una mapapai 4000 ukiuza sokoni kila papai unapata milion 2 ukitoa labda garama zako laki 1 unabaki na milion 3, ndio hiki???
Yani remedial ndio inakufanya ushindwe kufanya mambo yako?? Cha muhimu timiza majukumu kwa kufundisha vipindi vyako....usipokuwepo hakikisha kuna mtu walau umemuachia kucover....ualimu ni kazi ambayo ina muda sanaaaa yani muda mwingi ni mapumziko ni vile tu hela nje ya mshahara hamna....kilimo ni msimu mshahara upo tu tena wa serikali uhakikaMkuu mashulen Kuna kitu linaitwa remidial, wakifunga mwalimu anatakiwa kufundisha Tena! Na nnavyohc kaz za shamba znamambo meng znataka usimamiz pia kashikash na vitisho kazn ni nyng kuanzia wenyeviti wa vitongoj, wa vjj, wanakijij, watendaj, afsa elimu kata bado wa wilaya! Kiufupi ucpime
Nmekupata kamandaYani remedial ndio inakufanya ushindwe kufanya mambo yako?? Cha muhimu timiza majukumu kwa kufundisha vipindi vyako....usipokuwepo hakikisha kuna mtu walau umemuachia kucover....ualimu ni kazi ambayo ina muda sanaaaa yani muda mwingi ni mapumziko ni vile tu hela nje ya mshahara hamna....kilimo ni msimu mshahara upo tu tena wa serikali uhakika
Mwisho wa siku fanya unachoona kama kilimo kinakutoa zaidi hamia mkuu
Nmekupata kamanda
Mpunga ekari Moja inatowa kuanzia Gunia 25-30 , kama kalima ekari 50-70 ukizidisha mara guniia 15 Kwa hizo ekari na Bei za Mpunga mwaka Jana na mwaka huu imelipa sana , hiyo unapata Shambani inategemea na mwaka ulivyo. Mwaka huu Mahindi Bado yapo Shambani Bei ni 90,000/= kama mtu ana ekari zake 120 Mahindi hakosi Gunia 1000/= mwaka huu Kuna badhii ya maeneo mavuno ni mazuri , kilimo ni timing tu na bahati , huu mwaka piya watu watapiga Hela sana mashambaniMil 180 ni kilimo chenyewe kabisa au ni hiki kilimo cha online? Cha mpapai mmoja unazaa mapapai 20 ukipanda mipapai 20 una mapapai 4000 ukiuza sokoni kila papai unapata milion 2 ukitoa labda garama zako laki 1 unabaki na milion 3, ndio hiki???
Yani remedial ndio inakufanya ushindwe kufanya mambo yako?? Cha muhimu timiza majukumu kwa kufundisha vipindi vyako....usipokuwepo hakikisha kuna mtu walau umemuachia kucover....ualimu ni kazi ambayo ina muda sanaaaa yani muda mwingi ni mapumziko ni vile tu hela nje ya mshahara hamna....kilimo ni msimu mshahara upo tu tena wa serikali uhakika
Mwisho wa siku fanya unachoona kama kilimo kinakutoa zaidi hamia mkuu
Nenda,rukwa,ruvuma au katavi utembelee walimu msimu huu wa mavunoHizo ni story za kufunga Tu mkuu.
Kaka wew mzoefu Sana na kilimo, wengne wamejawa na hofu kuhusu kilimo lakn Kuna watu wanamiliki hela kuptia kilimo! Kanuni yao ni kutokuuza mazao yao msimu wa mavuno pili Kam mwaka hayana Bei anakaa nayo ad mwaka unaofatia yanakutana mavuno ya misimi miwl sku Bei ikipanda huyo mtu sio mwenzako tenaMpunga ekari Moja inatowa kuanzia Gunia 25-30 , kama kalima ekari 50-70 ukizidisha mara guniia 15 Kwa hizo ekari na Bei za Mpunga mwaka Jana na mwaka huu imelipa sana , hiyo unapata Shambani inategemea na mwaka ulivyo. Mwaka huu Mahindi Bado yapo Shambani Bei ni 90,000/= kama mtu ana ekari zake 120 Mahindi hakosi Gunia 1000/= mwaka huu Kuna badhii ya maeneo mavuno ni mazuri , kilimo ni timing tu na bahati , huu mwaka piya watu watapiga Hela sana mashambani