Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Tatizo limeanzia pale alipokua mwalimu kiufupi anaweza kua njema ila asione waalimu ni useless akili hawana kabisa.
 
Afanye haya
Kama ana familia awe na akiba ya kula na kusaza miaka miwili bila kutegemea chochote
Kama Amefika stage hii anaweza kuacha kazi na akaishi kama hata biashara anazotaka kufanya au kilimo kikaja kuzingua ataishi huku akiangalia Usawa wa mbele ila kama hana hela ya akiba asiache sababu ataacha baada ya mwezi atayumba sababu ya hana akiba
Matatizo mengi ya watu kiuchumi yanaanzia kwenye kutokuwa na akiba
 
Mwambie akae mwaka mmoja bila kwenda benki kuchukua mshahara. Akiweza kuishi vizuri aache kazi.


Ukweli m180 mashamba na trekta ni mtaji mkubwa. Ila inawezekana mshahara unaplay part katika kufanya hizo mali zisurvive.

Mimi hata m50 tu ualimu kwa heri
 
Sijambo baya kuacha kazi ila chamsingi ahakikishe kwenye account yake ana mshahara wa mwaka mzima. Au kama anaweza kujipa muda akafanya kazi kwa mwaka mzima bila kuutegemea mshahara wake kwa matumizi yeyote yale atakuwa amefaulu na anaweza kuacha kazi na kuendelea na shughuli nyingine
 
Mrejesho. Kwanza nawashukru Sana kwa michango yenu nimeunganisha mawazo yenu nikamwambia asiache kwanza kaz afanye namna afungue mashine za kusaga nafaka sehem mbali mbali especially vijjn ña ahakkshe znmwngzia walau 1m kwa mwez nje na mapato yake ya mashamban! Ahsanten
 
Mrejesho. Kwanza nawashukru Sana kwa michango yenu nimeunganisha mawazo yenu nikamwambia asiache kwanza kaz afanye namna afungue mashine za kusaga nafaka sehem mbali mbali especially vijjn ña ahakkshe znmwngzia walau 1m kwa mwez nje na mapato yake ya mashamban! Ahsanten
Chonde chonde asinunue mashine za kusaga nyingi zitamgharimu sana, mashine Moja ni zaidi ya 9Millioni , return yake ni less than 10,000/ hapo hujatoa gharama za umeme jengo Mfanyakazi,.
Mshauri aweke Mashine ya Mpunga Songea Kuna eneo Moja tunduru wanaolima Mpunga sana, mashine za Mpunga Zina Hela sana ukiwa tayari nikuunganishe na Jamaa zangu wasukuma wapo KM 90 kutoka hapo mjini songea wanaolima mpunga
 
Chonde chonde asinunue mashine za kusaga nyingi zitamgharimu sana, mashine Moja ni zaidi ya 9Millioni , return yake ni less than 10,000/ hapo hujatoa gharama za umeme jengo Mfanyakazi,.
Mshauri aweke Mashine ya Mpunga Songea Kuna eneo Moja tunduru wanaolima Mpunga sana, mashine za Mpunga Zina Hela sana ukiwa tayari nikuunganishe na Jamaa zangu wasukuma wapo KM 90 kutoka hapo mjini songea wanaolima mpunga
Uko vzr Sana Kaka ngj nmwambie Kisha nitakupa mrejesho
 
Nashauri 100m aweke kwenye akaunti ya UTT Amis, itakuwa inamlipa interest ya 1m kila mwezi ambayo ni sawa na mshahars wake. Aache kazi aendelee na kilimo
 
Back
Top Bottom