Anataka kuacha Ndoa kwa sababu hizi

Anataka kuacha Ndoa kwa sababu hizi

Nyafwili

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2023
Posts
4,240
Reaction score
10,561
Bwana MAPESA amesema biashara yake imeshuka baada ya ndoa.

Bwana MAPESA anamiliki maduka makubwa matatu ya biashara ambapo bidhaa za nyumbani na mahitaji mengine hutolewa, biashara ambayo alikuwa akifanya akiwa mtu mmoja(, bila kuwa na ndoa Kabla).

Biashara Ilikuwa Inaendelea vizuri sana Kwa miaka Kadhaa. Lakini baada ya kufunga ndoa, hakuweza kueleza kilichokuwa kinaendelea, ni ajabu kwamba biashara Yake Ilianza Kuporomoka gafla, kwa sasa kuna duka moja tu lililosalia na bidhaa chache, mmiliki wa duka ameshaanza kumpa taarifa ya kuondoka kwenye hicho chumba alicho panga.

Kuzorota kwa hali, amesema anaota ndoto za kutisha usiku tangu aoe.

Bwana MAPESA anauliza!! Je, hivi vyote ni sawa au bahati mbaya?

Maisha ni zaidi ya vitu vya kimwili, tayari tuna mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.

Nukuu:- Biblia inasema alichounganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe. Yeye ambaye anapata mke, anapata kitu kizuri na kupata fadhili kutoka kwa bwana... Je kwa nini mimi Bwana MAPESA yananikuta haya??

Bwana MAPESA anaendelea Kusema nina mzigo mkubwa sana wa mawazo, na napanga Kujitenganisha na Mke wangu ili nione je, maisha yataludi kama ilivyo kuwa mwanzo kabla sijaoa?

Anaendelea kusema Hatujaangalia au Kuchunguza Kiroho kuhusu Jambo hili,
Lakini bwana MAPESA, bado Anaendelea kujiuliza kuwa mke wake ni mchawi? Au mke wake hana nyota ya biashara?

Bwana MAPESA alisema kama sivyo kwa nini imekua ghafla hivyo?🥴🥴

Mimi kama Nyafwili, Napiga vita Talaka/Upande wa Ndoa, kutokana na dini yangu. ✍️✍️.

Mwana Jf, Unatoa Maoni Gani kuhusu bwana MAPESA na kadhia hii aliyo nayo kwa sasa?
 
Bwana MAPESA amesema biashara yake imeshuka baada ya ndoa.

Bwana MAPESA anamiliki maduka makubwa matatu ya biashara ambapo bidhaa za nyumbani na mahitaji mengine hutolewa, biashara ambayo alikuwa akifanya akiwa mtu mmoja(, bila kuwa na ndoa Kabla).

Biashara Ilikuwa Inaendelea vizuri sana Kwa miaka Kadhaa.
Lakini baada ya kufunga ndoa, hakuweza kueleza kilichokuwa kinaendelea, ni ajabu kwamba biashara Yake Ilianza Kuporomoka gafla, kwa sasa kuna duka moja tu lililosalia na bidhaa chache, mmiliki wa duka ameshaanza kumpa taarifa ya kuondoka kwenye hicho chumba alicho panga.

Kuzorota kwa hali, amesema anaota ndoto za kutisha usiku tangu aoe.

Bwana MAPESA anauliza!! Je, hivi vyote Ni sawa au bahati mbaya?
Maisha ni zaidi ya vitu vya kimwili, tayari tuna mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.

Nukuu:- Biblia inasema alichounganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe. Yeye ambaye anapata mke, anapata kitu kizuri na kupata fadhili kutoka kwa bwana... Je kwa nini mimi Bwana MAPESA yananikuta haya??

Bwana MAPESA anaendelea Kusema nina mzigo mkubwa sana wa mawazo, na napanga Kujitenganisha na Mke wangu ili nione je, maisha yataludi kama ilivyo kuwa mwanzo kabla sijaoa ??? .

Anaendelea kusema Hatujaangalia au Kuchunguza Kiroho kuhusu Jambo hili,
Lakini bwana MAPESA, bado Anaendelea kujiuliza kuwa mke wake ni mchawi?? Au mke wake hana nyota ya biashara?? ,
Bwana MAPESA alisema kama sivyo kwa nini imekua ghafla hivyo?? .🥴🥴


Mimi kama Nyafwili, Napiga vita Talaka/Upande wa Ndoa, kutokana na dini yangu. ✍️✍️.


Mwana Jf, Unatoa Maoni Gani kuhusu bwana MAPESA na kadhia hii aliyo nayo kwa sasa?
Na gesi Bwana Mapesa alio kwa kuangalia matako....wakati huo akihonga hakuwahi kuona kama zinashuka ila Tako kashalizoea anaona kama ni chuma ulete.

Vijana tulishawaonya huko mnako kimbilia sisi wazee tulishapita miaka ya tisini.
 
Kuna mwanamke ukioa anakuja na mikosi. Kuna mjomba mmoja alioa mke wakapata tabu kwelikweli wakaishi Vingunguti mvua ikinyesha wanachota maji chumbani. Yule mjomba akaachishwa kibarua akaanza kuomba tag kwa washkaji zake madereva wa magari. Akawa analalamika tangu aoe amefeli maisha.

Baadae mambo yalikuja kunyooka kupitia mke wake. Ndio wakaanzisha biashara mume ana ya kwake na mke ana kazi, wakajenga na wana watoto wanaishi middle income ada za watoto private school hazipigi chenga wala bills hazisumbui na bata hazikosekani. La saba B couple
 
Na gesi Bwana Mapesa alio kwa kuangalia matako....wakati huo akihonga hakuwahi kuona kama zinashuka ila Tako kashalizoea anaona kama ni chuma ulete.

Vijana tulishawaonya huko mnako kimbilia sisi wazee tulishapita miaka ya tisini.
Bwana MAPESA, Anasema biashara yake imeporomoka gafla tu. Kwa hiyo mkuu Unahisi tatizo litakua ni nyash.?
 
Kuna mwanamke ukioa anakuja na mikosi. Kuna mjomba mmoja alioa mke wakapata tabu kwelikweli wakaishi Vingunguti mvua ikinyesha wanachota maji chumbani. Yule mjomba akaachishwa kibarua akaanza kuomba tag kwa washkaji zake madereva wa magari. Akawa analalamika tangu aoe amefeli maisha.

Baadae mambo yalikuja kunyooka kupitia mke wake. Ndio wakaanzisha biashara mume ana ya kwake na mke ana kazi, wakajenga na wana watoto wanaishi middle income ada za watoto private school hazipigi chenga wala bills hazisumbui na bata hazikosekani. La saba B couple
Aisee,, Kwa hiyo aliendelea na mke yule yule wa kwanza, au alioa mke mwingine??
 
Aisee,, Kwa hiyo aliendelea na mke yule yule wa kwanza, au alioa mke mwingine??
Mke alipata kazi sehemu ndio akainua familia kwa muda na mume akaanzisha kibiashara. Ila from our point of view mke ndio anabeba sana familia, kile kibiashara cha jamaa hakiwezi endesha hata good lifestyle ya bachelor.
 
Mke alipata kazi sehemu ndio akainua familia kwa muda na mume akaanzisha kibiashara. Ila from our point of view mke ndio anabeba sana familia, kile kibiashara cha jamaa hakiwezi endesha hata good lifestyle ya bachelor.
Duhh, kumbe kweli haya mambo yapo,
 
Back
Top Bottom