Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

OA BIKRA TUU!!
 
Asijidanganye huyo mwanamke kabisaaa maana akiachika tuu na huyo mcheps nae anambwaga
Kabisa mkuu.

Halafu kuna kitu Ke huwa hawajui.
Mwamba akioa akaweka ndani inafika muda anakinai kwa sababu ya makwazo, ugomvi, (kama huyo Ke mwenye mchepuko lzm ana kiburi na gubu la kutosha) nk, hadi mnara unakuwa hausomi kwake tena.
Ila kwingine nje huko mume anapeleka 🔥 wa kufa mtu.

Hata akienda akaolewa na huyo mchepuko wake scenario itakuwa hiyo hiyo. Mume mpya atamchoka atahamishia moto kwinginee
 
Vija a msioe mwanamke broke maana jamaaa alibugu kuoa mwanamke broke. Saka wanawake wenye hela zao hawa broke gals ninshida
 
Aisee kumbe bora ujue kutomber viziri kuliko kuwa na pesa.
Kelsea Joannah Aaliyyah Lamomy nisameeni nikikuwa nawashangaa kwa nini mnakataa kibamia wakati hela ninayo sasa nimewaelewa
Mapenz yapo moyoni kuridhika ni mambo yanayoongeleka na km ni tatizo litafutiwe tiba
Unaweza pia Kuna na vyote na ukaachwa pia😄
 
Sasa hapo anataka ushauri gani?

Alafu mbwa kama huyo akija kukatwa katwa mapanga wanaharakati uchwara waje kupiga kelele za ukatiri wa kijinsia.
Anacho kitafuta atakipata muda sio mrefu.
Punguza Jazba Kila Mmoja Atapita Kwa Mapito Yake Ya Kwao Waachie Wenyewe
 
Yule mwanamke ni malaya
 
Ninadhani kwenye zile amri kumi ile ya USIUE ifanyiwe marekebisho kidogo ili kuendana na mahitaji ya sasa.
 
Kama hii sio chai basi hiyo ndoa Ina matatizo!!!!
Mwanaume alioa ili apate mashine kumzalia na mwanamke aliolewa ilipate unafuu wa maisha!!!!!!
Huyo dada kqshindwa kuongea na mumewe namna anavyotaka afanywe ili aridhike???
Harafu unajua humo ndani ya ndoa wakiongea na kutoa ya moyoni mbona wataridhishana tu! Shida mume kamchukulia poa halafu kwa x kajiachia!.
Afanye anachoona kinamfaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…