Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
MWAMBIE BI DADA ADAI TALAKA HARAKA SANA AENDE HUKO ANAKOPEWA ASALI. MSELA ATAPATA TU ATAKAYEMUELEWA ISIWE SHIDA
 
Mnavyomwitaga mwanamke malaya ni ili aumie au ni kujiridhisha tu nafsi zenu? Wengi tu mnaishi na malaya na hamjui.
Huyo jamaa apigwe chini. Ndoa ni tendo..mnataka dada wa watu akamalizie wapi nyege zake kama mume hajui lolote.?

Mwanamke akiwa hana kizazi mnasapoti mwanaume akazae nje na mara nyingi mke anaachwa kisa hazai.

Jamaa apigwe chini apelekwe jando akafundishwe jinsi ya kumridhisha mwanamke.
Mwanamke mwenzenu anataka kukunwa vizuri na ex wake na huku anataka pesa za mumewe ambaye hamkuni vizuri😂😂

siyo kwamba tunawaita malaya kwasababu ya kuridhisha nafsi zetu, ni kwasababu ndivyo mlivyo.
 
Mnavyomwitaga mwanamke malaya ni ili aumie au ni kujiridhisha tu nafsi zenu? Wengi tu mnaishi na malaya na hamjui.
Huyo jamaa apigwe chini. Ndoa ni tendo..mnataka dada wa watu akamalizie wapi nyege zake kama mume hajui lolote.?

Mwanamke akiwa hana kizazi mnasapoti mwanaume akazae nje na mara nyingi mke anaachwa kisa hazai.

Jamaa apigwe chini apelekwe jando akafundishwe jinsi ya kumridhisha mwanamke.
Mnavyomwitaga mwanamke malaya ni ili aumie au ni kujiridhisha tu nafsi zenu? Wengi tu mnaishi na malaya na hamjui.
Huyo jamaa apigwe chini. Ndoa ni tendo..mnataka dada wa watu akamalizie wapi nyege zake kama mume hajui lolote.?

Mwanamke akiwa hana kizazi mnasapoti mwanaume akazae nje na mara nyingi mke anaachwa kisa hazai.

Jamaa apigwe chini apelekwe jando akafundishwe jinsi ya kumridhisha mwanamke.
Huyo ni shetani ndo anayemsumbua hata apeww johnny sins hatoridhika,
 
Mwanamke mwenzenu anataka kukunwa vizuri na ex wake na huku anataka pesa za mumewe ambaye hamkuni vizuri😂😂

siyo kwamba tunawaita malaya kwasababu ya kuridhisha nafsi zetu, ni kwasababu ndivyo mlivyo.
Amesema anataka kumuacha mume aende kwa ex. Kama inampendeza afanye hivyo..
Kama ndivyo tulivyo malaya basi Mungu katuumba hivyo..hatuwezi kubadilika. Wakati sasa umefika mkubali kwamba umalaya upo ndani yetu na hatuna means ya kujirekebisha.
Malalamiko kayapelekeni kwa muumba wenu.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Kuua si dhambi Kwa Binadamu Design Hii.
 
Kama ulichoandika ni kweli umeshafungua code kwa 80% sasa jamaa akipita huku huyo dada kwisha habari yake.... akifika ahera madukani amsalimie sana Amina chifupa na Dida nimewamisi sana dada zangu wale
 
Amesema anataka kumuacha mume aende kwa ex. Kama inampendeza afanye hivyo..
Kama ndivyo tulivyo malaya basi Mungu katuumba hivyo..hatuwezi kubadilika. Wakati sasa umefika mkubali kwamba umalaya upo ndani yetu na hatuna means ya kujirekebisha.
Malalamiko kayapelekeni kwa muumba wenu.
Malizia kusoma pale chini, "Kwa upande mwingine huduma za mumewe bado anazihitaji"

Anazihitaji kwasababu, huyo ex wake hana, zaidi ya kumkuna vizuri na kumpenda. Sasa hapo, Kuna pesa,upendo wa kweli na ukuni.

Achague moja Ili tuseme siyo malaya.
 
Inasikitisha sana, wanawake wamekuwa serial cheaters na hawajali namna wanavyoliwa na kila mtu.
 
Malizia kusoma pale chini, "Kwa upande mwingine huduma za mumewe bado anazihitaji"

Anazihitaji kwasababu, huyo ex wake hana, zaidi ya kumkuna vizuri na kumpenda. Sasa hapo, Kuna pesa,upendo wa kweli na ukuni.

Achague moja Ili tuseme siyo malaya.
Ni kweli achague moja.
 
Malizia kusoma pale chini, "Kwa upande mwingine huduma za mumewe bado anazihitaji"

Anazihitaji kwasababu, huyo ex wake hana, zaidi ya kumkuna vizuri na kumpenda. Sasa hapo, Kuna pesa,upendo wa kweli na ukuni.

Achague moja Ili tuseme siyo malaya.
Aisee kumbe bora ujue kutomber viziri kuliko kuwa na pesa.
Kelsea Joannah Aaliyyah Lamomy nisameeni nikikuwa nawashangaa kwa nini mnakataa kibamia wakati hela ninayo sasa nimewaelewa
 
Back
Top Bottom