Anataka kunipeleka Polisi kisa na-date na Binti yake

Anataka kunipeleka Polisi kisa na-date na Binti yake

We endelea na mapenzi yenu mkuu kama ataamua kukukomoa sidhan kama atafikiria kwenda polisi we kuwa mpole tu
 
Huyu Mzee bhana haishi kunitishia mara tu baada ya kusikia naishi na binti yake. Binti yake anasoma Chuo Diploma mwaka wa pili. Kiumri tayari ameshaover 18+ lakini mzee wake anakaza anataka anipeleke polisi kwa kesi ya kwamba Binti yake bado anasoma.

Je, Wakuu kuna kesi yoyote hapo endapo akifikia hatua ya kunipeleka huko? Sheria zinasemaje kwa umri na mtu anaesoma ngazi hiyo ya Elimu? Kuwa kwenye mahusiano ni kosa kisheria au ni haki yake?
Naomba uzae mabinti na huyo binti tena mfululizo, halafu wakora kama wewe waanze kuwachezea. Utajua kwanini huyo Mzee anataka kukufikisha police
 
JF kwa sasa hakuna kitu mkuu, Kuna wanasheria maandazi tu
Mkuu nimrpitia Uzi mzima hakuna aliyekujibu hoja yako,

ila kwa sheria ya elimu dhidi ya mwanafunzi ni yupi inasema kuwa ,mtoto atahesabika kuwa mwanafunzi toka chekechea hadi pale kidato cha nne, na hata kuwa mwanafunzi ikiwa matokeo yatatoka na kuonesha kuwa hajafaulu,

Ila akifaulu na kuendelea kidato cha tano na sita huyu bado atahesabika kuwa ni mwanafunzi pia, kwa chuo huyu eidha awe certificate au diploma huyu si mwanafunzi,sheria haiwaongelei hawa


Kwa dhana hiyo huyo mtoto yuko above 18 yrs, na si mwanafunzi so sioni mahala huyu baba mtu atakupata matatizoni,sema kuwa hapa duniani hakuna haki,unaweza pelekwa kituo cha polisi baadae akajikuta unafunguliwa kesi ya unyanganyi wa kutumia siraha.

Hivyo yakupasa kuwa makini na huyo baba mtu maana hapendi wewe kuwa karbu na bintiye

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom