Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛😀Huu ni ushauri kutoka kwa Mlevi mmoja!We endelea na mapenzi yenu mkuu kama ataamua kukukomoa sidhan kama atafikiria kwenda polisi we kuwa mpole tu
Great!Wa kutosha tu
Baba mhungaji bila shaka wewe utakuwa GwajimaZero IQ, mjaze mimba huyo binti, Kisha tafuta t short kubwa aindike mgongoni, mwanao tayari, bado mkeo, pita nayo mitaa Yake ya kujidai. Atakuheshimu tu
Nadhani Mimi ndiye Mwamposa mwenyeweBaba mhungaji bila shaka wewe utakuwa Gwajima
Naomba uzae mabinti na huyo binti tena mfululizo, halafu wakora kama wewe waanze kuwachezea. Utajua kwanini huyo Mzee anataka kukufikisha policeHuyu Mzee bhana haishi kunitishia mara tu baada ya kusikia naishi na binti yake. Binti yake anasoma Chuo Diploma mwaka wa pili. Kiumri tayari ameshaover 18+ lakini mzee wake anakaza anataka anipeleke polisi kwa kesi ya kwamba Binti yake bado anasoma.
Je, Wakuu kuna kesi yoyote hapo endapo akifikia hatua ya kunipeleka huko? Sheria zinasemaje kwa umri na mtu anaesoma ngazi hiyo ya Elimu? Kuwa kwenye mahusiano ni kosa kisheria au ni haki yake?
Ndiyo maana jaji mfawidhi anawapondaga wanasheria. Sijui wanasikikizia upepo. Au labda swali gumu.JF kwa sasa hakuna kitu mkuu, Kuna wanasheria maandazi tu
Inategemea na huyo mzee ana akili gani kuna wengine atachukua binti ná mjukuu wake na huyo mtoto hatapewa jina lako wala hutakaa umsikieSo ndio Zero IQ atazaa na huyo mwana diploma!!!
Wakishazaa naamini watanikabidhi kabinti kao. Wasafwa wanasema, mwanao mpe mchawi amlee
Kesi sijui ila dhambi tayari umeshazini[emoji3][emoji3][emoji3] Nataka nijue kwanza je kuna kesi yeyote kuwa kwenye mahusiano na binti anaesoma chuo Ngazi ya Diploma
Mkuu nimrpitia Uzi mzima hakuna aliyekujibu hoja yako,JF kwa sasa hakuna kitu mkuu, Kuna wanasheria maandazi tu