Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
- #241
5.akuna ata mmoja alienipigia simu na kuuliza chochote1)uwe na uhakika Kwa Nini aliondoka,kama sababu ni umasikini na hujapata pesa mwambie arudi kwao.
2)muulize Kwa Nini anataka kurudi?anapungukiwa na nini akikaa peke yake?
3)Marafiki zake ni watu wa namna Gani?
4)mambo Mengine ni ya kipuuzi ,aliondoka bila ruhusa halafu anahitaji ruhusa wakati anarejea,usiumize kichwa chako na watu wapumbavu
5.alipoondoka wazazi wake walikutafuta au wali respond vipi?
6.Mnandoa kabisa ya kidini au kiserikali?
7.Kama wazazi wake walikaa kimya tafuta mwanamke mwingine oa.
6 ndoa ya kidini