Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
-
- #241
5.akuna ata mmoja alienipigia simu na kuuliza chochote1)uwe na uhakika Kwa Nini aliondoka,kama sababu ni umasikini na hujapata pesa mwambie arudi kwao.
2)muulize Kwa Nini anataka kurudi?anapungukiwa na nini akikaa peke yake?
3)Marafiki zake ni watu wa namna Gani?
4)mambo Mengine ni ya kipuuzi ,aliondoka bila ruhusa halafu anahitaji ruhusa wakati anarejea,usiumize kichwa chako na watu wapumbavu
5.alipoondoka wazazi wake walikutafuta au wali respond vipi?
6.Mnandoa kabisa ya kidini au kiserikali?
7.Kama wazazi wake walikaa kimya tafuta mwanamke mwingine oa.
Una Haki Kama ndo hivyo5.akuna ata mmoja alienipigia simu na kuuliza chochote
6 ndoa ya kidini
usichukulie kila kitu serious sana utakufa kwa pressure bure. Katika maisha kuna wakati mtu anafanya makosa lakini baadae anajirudi na kuomba msamaha.Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Nashkuru kwa ushauriusichukulie kila kitu serious sana utakufa kwa pressure bure. Katika maisha kuna wakati mtu anafanya makosa lakini baadae anajirudi na kuomba msamaha.
Ikiwa yuko serious ni vyema ukamsamehe ila umpe onyo asirejee tena. Nadhani itakuwa amejifunza vya kutosha.
Ukiulizia humu utaambiwa kataa ndoa, jee hilo ndilo unalolitaka? Kuna siku na wewe utamkosea kwa hivyo weka akiba baba. Maisha siyo sawa na ruler kwamba imenyooka na kila kitu kitakwenda according to plan.
Msamehe, msamehe, msamehe........ yeye ni binadamu amekosea, amejutia na sasa anataka kurudi basi mpokee.
Hebu mshirikishe Mungu kwa kufunga na kuombaNi miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Aliyeondoka ni vitu vyote huyo ni boga Hana Akili Kabisa . Ni useless atakusumbua kabisa. Hivyo vitu alipeleka wapiNi miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Huu ndo USHAURI mzuri Sana.Atakuwa amejifunza saaana TU.usichukulie kila kitu serious sana utakufa kwa pressure bure. Katika maisha kuna wakati mtu anafanya makosa lakini baadae anajirudi na kuomba msamaha.
Ikiwa yuko serious ni vyema ukamsamehe ila umpe onyo asirejee tena. Nadhani itakuwa amejifunza vya kutosha.
Ukiulizia humu utaambiwa kataa ndoa, jee hilo ndilo unalolitaka? Kuna siku na wewe utamkosea kwa hivyo weka akiba baba. Maisha siyo sawa na ruler kwamba imenyooka na kila kitu kitakwenda according to plan.
Msamehe, msamehe, msamehe........ yeye ni binadamu amekosea, amejutia na sasa anataka kurudi basi mpokee.
Mbaya sna hii ya kusamehe na kurudia yy asamehe tu ila aendelee na maisha mengneUgumu wa maisha ndio unamrudisha..kama unampenda msamehe na mpokee mlee familia yenu kwa pamoja
Mmmhhhh,watu waliokuwa kinyume na Maandiko matakatifu bhaaaanaπππππππMbaya sna hii ya kusamehe na kurudia yy asamehe tu ila aendelee na maisha mengne
Majanga hayo ujueMmmhhhh,watu waliokuwa kinyume na Maandiko matakatifu bhaaaanaπππππππ