Sista, kwani wanaume tu, ndio wanapungufu ndani ya ndoa. Kwamaana kwamba wanawake hamna[emoji23][emoji23]. Pia mahusiano ukishavunja uaminifu jua ndio yameisha hivyo ujue ni kosa kubwa sana. Usicheze na uamunifu ndani ya mahusiano, eh! Vijana bwana[emoji23][emoji23]Yaani miaka kumi mtu kakuvumilia mapungufu yako eti unaona kosa lake ni kosaaa kubwaaaa tafuta malaika mkuu ufunge nae ndoa bila kusahau bikra.
Kukosa aibu tu. Watu wote hawa duniani unarudi kwa mtu uliyemuacha!!!Hivi kwanini huwa wanarudi kwa watu waliowacha tena wakati mwingine hata kwa dharau?
Naunga mkono hoja yako.Kwa mazingira yoyote yale, Mimi siwezi kurudiana na ex, na kwa sababu hizo hizo huwa simshauri mtu kurudiana na ex wake.
Japo mleta mada ulitaliwa kuelewa mahitaji ya huyo mwanamke kipindi hiko, Miaka kumi unajipanga jamani na mbususu unakula, sio fair kabisa. Mahitaji yako yalikua kujipanga, mahitaji yake yalikua ninini? Hivyo ni salama kusema kuharibikiwa kwake na wewe umechangia.
Kweli bhana. Kujigonga gonga kwa ex ni kujidhalilisha tu. Kama vipi akaoshe hata vyombo kwa mama ntilie maisha yasonge.Miaka 10 wakati unamkula tu....Daaa.Kwanza ana moyo sana kurudi kwako....mwambie maisha mazuri ni hayo anayoishi aache kujidhalilisha kuombaomba ndoa Kwa maex😏
10yrs were too long relationship kuvumiliwa na mwanamke yeyote. That is Man's faultsUmesoma ukaelewa lakini? Demu mwenyewe ndiye aliemkataa jamaa sasa wewe unamlaumu vp jamaa
PointiUkiingia kwenye maisha kwalengo la kujijenga na mwanamke, ndugu kwakiasi kikubwa asingeweza kufika hapo alipo. Hivyo ukimwona mwanaume anajipanga muda mrefu, either ukubali kumwamini kwakuangalia matendo yake au achana naye. Ndoa sio mapenzi tu, kuna majukumu makubwa sana ambayo jamaa asingeweza kuyatekeleza huyohuyo mwanamke angemdharau.
TrueUngemuoaga mapema hayo yote yasingetokea
Mambo ya mapenzi na kucare huwa wanaweka pembeniKuna jamaa alisema humu katika suala la ndoa mwanamke huolewa na mwanaume yeyote anayeonyesha nia ya kutaka kumuoa.
SawaKatika kitu sitokuja kufanya ni kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu tena ukilinganisha huyo mwanamke aliondoka kwako kwa dharau.
Kitendo cha kuishi naye miaka 10 bila kumsaliti kivyovyote kwa akili ya kawaida tu hakutakiwa kuwa na mashaka yoyote sababu ndoa ni kutamka maneno na vipande vya karatasi tu na hakuna kingine zaidi ya upendo wa kweli.
Huyo anakuona bwege bushoke ndio maana mwanzo alithubutu kuondoka kwako na alijua yakienda kushoto atarudi kwako na wewe bwege lake utampokea na kingine mwanamke mwenye mtoto hata ukioa tayari anakuwa na special connection na yule jamaa kama mzazi mwenzake na hapo lazima kuwe na usumbufu kwenye hiyo ndoa na probability ya yeye kulala tena na huyo jamaa ni kubwa mno.
Mkuu kuna watoto wazuri na wabichi kabisa hapa duniani tafuta mwingine uanzishe familia yako mwenyewe halali hakuna kugeuka nyuma au utakuja kulia zaidi, na next time jifunze kuwa na mamlaka kama mwanaume na sio kuwa mpole na yes man au wanawake watakuendesha sana na kukudharau.
No offense kwa maneno makali lakini huo ndio ukweli mkuu.
Maisha tu ndugu huyo akipata wa kumtoa hata laki na hamsini kwa mwezi tu akapata kula bila mawazo na soap sop kidogo utamsahau.Kingine haturudiani na maex walio fubaaa[emoji1787][emoji1787] bora angenawili kidogo hata ungemuangalia KWA jicho la tatu
UmeonaehhHata mm nimeumia hivi awe dadaangu awe na ww miaka 10 unamwagia tu afu unamuacha? Ww kwann usingemzalisha fala ww
Its is his faultsAlichoka mzee, yani miaka 10 yote mnasubiri nini!?
Kubali tu ya kua kwenye huko kuharibik kwa huyo dada wewe ni mhusika namba 1.
Tujifunze kuwaombe our ex maisha mema na yenye mafanikio coz hatupotezi chochote wanapofanikiwa coz tulisha move on! And same to them!! Life is too short to prove anything to anybody!! Muombee Mungu amuinue hapo alipo na ampate mtu sahihi simple! and we endelea na maisha yako!! Win win situation!!Tulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.
Ikabidi niheshimu mawazo yake japo roho iliniuma mpaka kufikia hatua nikawa napata maumivu kwenye moyo.
Nakumbuka kuna siku nilikuwa namfuatilia kwenye facebook nikitamani kujua aliyenipiku ananini kunizidi, nikakuta kamposti jamaa fulani mfupi kapiga picha mbele ya rav 4, roho iliniuma sana na ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukosa usingizi mpaka asubuhi, na kiherehere cha kumfuatia kikaishia palepale.
Baada ya kupita miaka mitano, Mwaka jana siku moja napeleka mzigo wa mteja mara simu ikaita kuchek namba ya airtel, kupokea anasema mimi I, nikamuambia mimi siongeagi na wake za watu akasema hajaolewa.
Akasema amenimiss anatamani kuniona tukapanga tukakutana, nilikuwa na hamu ya kuona maisha anayoishi,
Tukaenda anapoishi ni chumba kimoja kidogo kina kitanda tu na jiko la mkaa, amepauka amekonda. Akawa anampa mtoto kipande cha tikiti maji.
Hana kazi anategemea elfu 50 ya malezi ya mtoto anayopata kila mwezi kutoka kwa baba wa mtoto. Yenyewe aliipata kwa mbinde kupitia ustawi wa jamii.
Akanielezea kuwa yule mwanaume alikuwa ameoa ana watoto wa 3 na amezalisha wanawake kibao.
Akaniomba numpe nafasi awe mke bora mi nikawa namcheki tu alivyopauka.
Hivi kweli nipambanie maisha mpaka hapa nilipo alafu nioe mwanamke mwenye mtoto tena aliyenidhau.
Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Inategemea mlianza na umri Gani. Wengine wameanza na Miaka 16 so 10 SAWA na26 kma Bado unajipanga jeHakuna mwanamke anaweza kukuvumilia ujipange kumuoa kwa miaka 10 usimlaumu bure.
Shida tunawalaumu kina mama bila kuwaza upande wa pili. Wewe unaweza ona ndoa sio ishu kuuuuubwa ila kwa kina mama huwa ni kitu sensitive sana. Umekaa nae miaka 10 huo sio uchumba tena ni kitu kingine. Kwani lazima umuoe kwa harusi kubwa, ungefunga nae ndoa nakuhakikishia huyo mama angekuvumilia kwa tabu na raha zako.
Ukishakuwa na mwanamke ambae age inasogea ndoa huwa ni sensitive sana. Kama unampenda muoe kisha muendelee kutafuta maisha pamoja.
Wapo wanakaa Zaid ya Hyo na wanaolewa. WaTu wanaanza mapenzi since teenage age, Miaka 10 si kituMwanamke hawezi kukaa na MTU kwa miaka 10 Kama hampendi,Sema alihisi muda unamtupa mkono ndio akaona atafute mtu amuoe apate heshima ya ndoa bahati mbaya akaangua pua..ajali kazini
Mi nashangaa sana kuona mtu mliachana then unaomba mrudiane baada ya kushindwa huko kungine....ni halali kudharaulika aisee.Ole wake amtegemeae mwanadamu....fua hata nguo za watu ukipata hata buku 3 ni yakoKweli bhana. Kujigonga gonga kwa ex ni kujidhalilisha tu. Kama vipi akaoshe hata vyombo kwa mama ntilie maisha yasonge.