Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipango tuMiaka 10 yote mlikuwa mnasoma kozi gani?
Haha niko fresh mkuu kutokuzaa mda mrefu ni mipango tuNaunga mkono hoja yako.
Binafsi kurudiana na ex nakutafsiri kama kuendeleza mateso toka pale mlipoishia na sio kingine.
Kigezo pekee Cha Mimi kurudiana na ex ni iwe hajawahi kuwa na mahusiano na mtu mwingine yeyote toka tulipopeana mgongo na mimi iwe hivo ....kitu ambacho hakiwezekani.
LKN Kwa muandiko wa mtoa mada ....picha nnayoiona huyo ex ndo atakuwa mke au mchepuko wa kudumu wa huyu mtoa mada.....
Na mtoto wa huyo ex anaweza kuwa mtoto wao wa 1 na wa mwisho.....ten years bila mtoto.....kuna kitu hakipo sawa hajaelezea vizuri.
MahusianoMiaka kumi mko kwenye uchumba, mahusiano au mnasoma kozi gani hiyo?
Mtu akifulia anatafuta mtu anayeweza kumsikilizaHivi watu huwa wanajirudisha kwa ex kufanya nini? Kwa wanawake mi naona ni aibu kweli! Kama maisha yamekupiga kama huyo ndo unampa ex nafasi ya kukucheka daaah!
Huu Ni ubadhirifu wa rasilimali watu.Wapo wanakaa Zaid ya Hyo na wanaolewa. WaTu wanaanza mapenzi since teenage age, Miaka 10 si kitu
Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Kwa nini yeye amkumbuke baada ya kuzalishwa na kuachwa? Kama anaweza aurudishe ule ubora aliojitapa nao hadi akamuacha mwamba kwa nyodoKama bado unampenda muoe tu
Duu kazi kweli, atafute mtu wa kumpa laki na nusu kila mwezi badala atafafute kazi ya kumuingizia kipato.Maisha tu ndugu huyo akipata wa kumtoa hata laki na hamsini kwa mwezi tu akapata kula bila mawazo na soap sop kidogo utamsahau.
Wanawake ni kama maua
Hili neno kutumia silielewi!!! Hivi ni nani anamtumia mwenzake Kuanzia monetary terms!? Unajua nguvu zinazotumika zinagharimu kiasi gani kuzitengeneza? Tuwe Fair!Muoe tu,ale kiinua mgongo Cha Ile miaka kumi uliyomtumia
Utasikia "Mbwa yule agongwe hata na gari afe"Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Mmh we nae Unataka ligi tu..we mwanao wa kike amegwe miaka kumi utajisikiaje?Hili neno kutumia silielewi!!! Hivi ni nani anamtumia mwenzake Kuanzia monetary!? Unajua nguvu zinazotumika zinagharimu kiasi gani kuzitengeneza? Tuwe Fair!
Ni ujinga kusema mtu anatumiwa, kwani unakuwa huna akili mpaka ya kufikiria kwamba huyu ni mtu sahihi au la. Ukiona mtu haeleweki hata kama mmefunga ndoa moveon, na uhakikisje umepata better person, sio unaenda kuangukia kwa kimeo zaidi. Pia dating haimaanishi kwamba ni kugegedana kila siku kama wabongo wengi wanavyofikiri.Hili neno kutumia silielewi!!! Hivi ni nani anamtumia mwenzake Kuanzia monetary!? Unajua nguvu zinazotumika zinagharimu kiasi gani kuzitengeneza? Tuwe Fair!
Hao wakuanza teenage Wana kiranga.Wapo wanakaa Zaid ya Hyo na wanaolewa. WaTu wanaanza mapenzi since teenage age, Miaka 10 si kitu
Sikutaka ligi nilikuwa najaribu kutazama jambo hili kwa mtazano wa usawa. Kama mtazamo wangu ni batili kwako, nakutakia kila la heri.Mmh we nae Unataka ligi tu..we mwanao wa kike amegwe miaka kumi utajisikiaje?
Nyie wanawake ndio mstari namba moja katika kuacha wanaume na nyodo.Swala sio kwenda Kwa aliyebora chief,hapo ni swala la karma kuingia kwenye system mkuu.hata kama ulikuwa juu mawinguni itahakikisha inakushusha chini sakafuni ugaregare huko.
*tujifunze kuachana Kwa wema
🤣🤣🤣🤣 Ila wazazi wa sasa wanafeli sana....mtoto wako wa kike anagegedwa tuu nawe unaona poa.Huu Ni ubadhirifu wa rasilimali watu.