financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ila miaka 10 yote hiyo ulikua unasubiri sensa ama? Kama bado mnapendana endeleeni mlipoishia mkuu, tunajifunza kutokana na makosa, anaweza kuwa mama bora kwa familia yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa na nia ya kuoa kabisa mkuu, na nilimsihi sana kuwa tumetoka mbali ila alikataa.Kwa hiyo jumla ni miaka 15? Acheni kuwazeesha watoto wa watu. Subiri haya mnayofanya watafanyiwa watoto wenu wa kike mtaona jinsi roho inauma. Karma
🤣🤣🤣🤣kwanini unamshauri hivyo kijana wa watu
Kamweusirudi nyuma mwamba.
Weeeh usitusingizie bwana, nyuzi zenu humu zinaonyesha mnavyotuombeaga mabaya🤣🤣Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia😂 sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Mama bora huku ni single mazaIla miaka 10 yote hiyo ulikua unasubiri sensa ama? Kama bado mnapendana endeleeni mlipoishia mkuu, tunajifunza kutokana na makosa, anaweza kuwa mama bora kwa familia yenu.
Kuachwa na mtu uliyemzoea bila sababu ya msingi inauma sana.swala sio kwenda Kwa aliyebora chief,hapo ni swala la karma kuingia kwenye system mkuu.hata kama ulikuwa juu mawinguni itahakikisha inakushusha chini sakafuni ugaregare huko.
*tujifunze kuachana Kwa wema
Yes siyo kila single maza hajitambui mkuu, makosa kila mtu anakosea, na kuna kujifunza kutokana na hayo. Ampe nafasi nyingine.Mama bora huku ni single maza
Mwanamke akikuacha lazma akufatilie kila kona kuanzia whatsapp, facebook, insta yani atataka ajue una nini ama umepata demu tena. Akiona unapost majungu tu anajua kakuweza 😂😂😂!Weeeh usitusingizie bwana, nyuzi zenu humu zinaonyesha mnavyotuombeaga mabaya🤣🤣
HanipendiMuoe tu,ale kiinua mgongo Cha Ile miaka kumi uliyomtumia
Nilitamani kujua aliyenipiku amempa nini ambacho mimi sinaMara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia😂 sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Huyo shida ndizo zimemrudisha kwako, kama ukiamua kumsaidia msaidia huko huko sio kuoa.Tulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.
Eti kisa miaka 10 ya uchumba. Alimkuta bikra? Kabla ya hiyo miaka 10, amechakatwa na wangapi wakamuoa?Mama bora huku ni single maza
Hata wanaume mkuu!Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Ni kweli mkuu, wanapenda vya kuonekana hawaangalii moyo.Mpe pole Sana Huyo single mom!
Aliathiriwa na jamii hasa mtizamo na DESTURI zetu za kijinga!
Kwamba;
Mliishi KWA Miaka kumi na BADO hiyo sio NDOA Hadi tafrija na CHETI Ndio iwe NDOA!kwani jamii iliwachukuliaje wakati mnaishi!!?
Huo ni ukoloni mamboleo wa kizungu!!
Angejiona kama mke Halali wa ndoa bila CHETI na tafrija angekuwa na good life nawewe!!
Hii dhana inaendelea kututafuna Sana and so Deep!
Sasa ukishafulia yeye anapata faida gani? Kwamba anakuwa Tajiri automatically auMara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Angekuwa anajitambua angehimiza waone sio kumkimbilia boya mwenye rav 4 kili time. Matokeo yake kaparamia mume wa mtu. Asaidiwe tu ila sio kuolewa, some mistakes can never be corrected.Yes siyo kila single maza hajitambui mkuu, makosa kila mtu anakosea, na kuna kujifunza kutokana na hayo. Ampe nafasi nyingine.