Adui unaweza kumwombe Mema? Sisi sio akina Yesu.Sasa ukishafulia yeye anapata faida gani? Kwamba anakuwa Tajiri automatically au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui unaweza kumwombe Mema? Sisi sio akina Yesu.Sasa ukishafulia yeye anapata faida gani? Kwamba anakuwa Tajiri automatically au
Vipi nayeye kumuweka rehani miaka 10, kama ni mtoto yupo darasa tano kabisa.Uyo sasa ni veteran kashamaliza vita zake anataka kutulia na wewe. Sio kwamba anakupenda hapana anaamini wewe ni bwege kwake atakupanga utapangika ili mwisho wa siku mtoto wake akue vizuri kwa gharama za hela yako.
Je, utamuoa au hutomuoa hilo sasa ni juu yako mkuu?
Kipindi ananiacha nilimpa iyo option ila alikataa,Mwanamke hawezi kukaa na MTU kwa miaka 10 Kama hampendi,Sema alihisi muda unamtupa mkono ndio akaona atafute mtu amuoe apate heshima ya ndoa bahati mbaya akaangua pua..ajali kazini
Sasa hivi ushaoa??Kipindi ananiacha nilimpa iyo option ila alikataa,
Umeona eeeAisee na wewe ulichangia mwanamke kukengeuka 10yrs mkuu hata uvumilivu sio kiwango hicho.
This is 99% true...Kuna mwanamke somewhere alivumilia kiangazi ila mafanikio yakishatimba ndio kila anayemuona mwamba ametakata na madini shingoni, pamba kali amenyooka na prado namba DZ anahisi ana nafasi ya kuwa mkewe 😂😂😂!!!Wasichojua wanawake ni kuwa Kila mwanaume unayemuona amefanikiwa tayari ana mke wake. Hakuna aliye single.
Nilishakubali yaishe ila anavyoteseka najiuliza alinikataa ili akakae na mme wa mtuMkuu UKIACHWA ACHIKA Unachotafuta utakipata.
Vipi nayeye atakuwa na ngapi?Kwa haraka haraka hakosi miaka 35 mzee huyo
Kwann achukue nyanya iliyooza wakati zipo tele fresh shambaniKama unampenda muoe japo aggregate inasoma 1-0 Unaweza ukalevel aggregate kama triple c
Inaelekea huko ila haifiki, na pia kwa mwanamke anayekupenda umri sio shida saana,Kwa haraka haraka hakosi miaka 35 mzee huyo
At least angekuwa ameolewa hata kama maisha duni ningejua alikimbilia ndoa ya hatakaAngemkuta na maisha safi naamini kabisa angejiweka pale.
Ila we jamaa nawewe bana una matatizo.Inaelekea huko ila haifiki, na pia kwa mwanamke anayekupenda umri sio shida saana,
Hasa wanaume akimtosa msichana anatamani apate ka jamaa ka hovyo hovyo na akipata tofauti na alivyoomba huumia sana nakuishia uhuni tu na tamaa ya pesa vilimpeleka kumbe roho inauma.[emoji3]Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Kwa hiyo unaamuaje?At least angekuwa ameolewa hata kama maisha duni ningejua alikimbilia ndoa ya hataka
Wababa wanataka kwanza mwanamke apaukeeee asiwe na mahusiano ya kueleweka ndio furaha yao.Hasa wanaume akimtosa msichana anatamani apate ka jamaa ka hovyo hovyo na akipata tofauti na alivyoomba huumia sana nakuishia uhuni tu na tamaa ya pesa vilimpeleka kumbe roho inauma.[emoji3]