Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Anajiskia kama kakuweza yani kakukomoa au wewe umefeli kuliko yeye.Sasa ukishafulia yeye anapata faida gani? Kwamba anakuwa Tajiri automatically au
Kwangu mie nikikufuta huwa sitakagi kujua una hali gani uliko. Thats for good!Hata wanaume mkuu!
Mwanamke hawezi kukaa na MTU kwa miaka 10 Kama hampendi,Sema alihisi muda unamtupa mkono ndio akaona atafute mtu amuoe apate heshima ya ndoa bahati mbaya akaangua pua..ajali kaziniHanipendi
Hii Safi sanaKwangu mie nikikufuta huwa sitakagi kujua una hali gani uliko. Thats for good!
Kwani jamaa angeshindwa kumuoa? Au ndo yale ya kutaka harusi kama ya Nandi na Bilnass wakati bwana wako fundi mageti?Mwanamke hawezi kukaa na MTU kwa miaka 10 Kama hampendi,Sema alihisi muda unamtupa mkono ndio akaona atafute mtu amuoe apate heshima ya ndoa bahati mbaya akaangua pua..ajali kazini
Angemkuta na maisha safi naamini kabisa angejiweka pale.Hapa umeridhika ila Ungekutana naye anajiweza gari kali, nyumba nzuri na mume wake hadithi ingekuwa tofauti na huenda kawivu kangekuvaa, ungetaka kula kimasihara kwa kujaribu kupasha kiporo ili amsaliti mumewe. Hivyo ndivyo tulivyo binadamu. Mtu akikuacha unatamani yamkute hayo yaliyomkuta x wako na si vinginevyo.
Ndio tumuulize huyu mwenzenu miaka yote hiyo kwa Nini alikuwa hamuoi?na anadai anmpenda?Kwani jamaa angeshindwa kumuoa? Au ndo yale ya kutaka harusi kama ya Nandi na Bilnass wakati bwana wako fundi mageti?
Imagine!10 years bila pension😄Wananaume tuna dhambj unamla mtu 15yrs then unamwacha hivi hivi?
Wanapenda Sana kukuta MTU kachoka,wakikuta njema roho zinawaumaaa na kuanza vizinga vya hapa na paleAngemkuta na maisha safi naamini kabisa angejiweka pale.
[emoji1474][emoji1474][emoji1474]Kwangu mie nikikufuta huwa sitakagi kujua una hali gani uliko. Thats for good!
Huh!! Sasa nampost vipi boyfriend tu jamani🙆🙆🙆Mwanamke akikuacha lazma akufatilie kila kona kuanzia whatsapp, facebook, insta yani atataka ajue una nini ama umepata demu tena. Akiona unapost majungu tu anajua kakuweza 😂😂😂!
Ana kapost kabwana kake kenye Crown
Ni kweli mkuu ila kumbuka familia zinatofautiana, kuna wengine tumetokea familia ambazo hata ukipata mgeni unamuombea kwa jirani, ni lazima tupunguze umasikini wa nyumbani kabla ya kuanza majukumu ya ndoa,Hivi ninyi wanaume wenzangu unamchukua binti wa watu unaishi nae miaka 10 bila kumuoa hivi unakuwa unasubiria kitu gani? Hivi hufikirii kuwa maisha yanasonga mbele hayarudi nyuma? Hufikirii kwamba muda mnaoupoteza kwa kukaa pamoja ni sawa na muda mngeutumia kama mngekuwa na ndoa?
Tusiwafanye wanawake wasiojielewa kama sehemu ya vipoozeo vyetu vya ngono katika maisha kwa kipindi ambacho tunajua tunaishi nao tu huku pia tukijua hatutowaoa! Kama unampenda usimchakaze kwa kukaa nae muda mrefu, muoe mfurahie maisha yenu ya ndoa mkiwa vijana na sio mnakaa pamoja tu na baadae unamuona hafai na kutafuta mwengine. Maisha sio sehemu ya majaribio ya nani wa kuishi nae.
Wewe kama waliachana kilichomfanya akamuone naye kitu gani, bado anampenda.kwanini unamshauri hivyo kijana wa watu
Acha roho mbaya bwana. Kosa si kosa bali kurudia kosa. Amsamehe tu binti wa watu amuoe. Huyo ndio mke wake.Angekuwa anajitambua angehimiza waone sio kumkimbilia boya mwenye rav 4 kili time. Matokeo yake kaparamia mume wa mtu. Asaidiwe tu ila sio kuolewa, some mistakes can never be corrected.
DaahImagine!10 years bila pension😄
Wasichojua wanawake ni kuwa Kila mwanaume unayemuona amefanikiwa tayari ana mke wake. Hakuna aliye single.Angekuwa anajitambua angehimiza waone sio kumkimbilia boya mwenye rav 4 kili time. Matokeo yake kaparamia mume wa mtu. Asaidiwe tu ila sio kuolewa, some mistakes can never be corrected.