whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
- Thread starter
- #141
Nimemkwepa sana maana alinisaka kwa kasi, na kosa nililofanya ni kuongea maneno mengi tulipokutana.Achana nae hisia zisizidi akili , cjui kipi huelew apo aanh unakera [emoji51][emoji51][emoji51] elewa ... Ubao unasoma 1-0 hutoboi umeshindwa miaka 10 utaweza sasa
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app