Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Achana nae hisia zisizidi akili , cjui kipi huelew apo aanh unakera [emoji51][emoji51][emoji51] elewa ... Ubao unasoma 1-0 hutoboi umeshindwa miaka 10 utaweza sasa

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Nimemkwepa sana maana alinisaka kwa kasi, na kosa nililofanya ni kuongea maneno mengi tulipokutana.
 
Kwa hiyo jumla ni miaka 15? Acheni kuwazeesha watoto wa watu. Subiri haya mnayofanya watafanyiwa watoto wenu wa kike mtaona jinsi roho inauma. Karma
“Acha ku-panic”

Mimi nimekaa uchumba na mke wangu kiasi cha miaka nane (eight years) sasa hivi anakula good time,hiyo laana yako hapo haiwezi mkuta mtu makini sometimes watu wanaogopa kuchukua watoto wa watu wakawalaze njaa that's why wanawaambia msubiri ninyi mnajiona cake sana kwamba mtapata nje ya wale watafutaji mnaenda kuzalishwa na waume za watu.

Kwa akili hizo mmekwisha!!!
 
Haitokaa itokee aache mawasiliano na baba wa mtoto,,kumbuka wameshea damu hapo na shida ndo inaanzia hapo,ingekua hajazalishwa angalau,lkn yule jamaa mfupi aliekuumiza miaka mitano ilopita ndio huyo huyo atakuja kukuumiza tena kwa kigezo cha kumtembelea mwanae.
Haiwezekani tena
 
“Acha ku-panic”

Mimi nimekaa uchumba na mke wangu kiasi cha miaka nane (eight years) sasa hivi anakula good time,hiyo laana yako hapo haiwezi mkuta mtu makini sometimes watu wanaogopa kuchukua watoto wa watu wakawalaze njaa that's why wanawaambia msubiri ninyi mnajiona cake sana kwamba mtapata nje ya wale watafutaji.

Kwa akili hizo mmekwisha!!!
Ni kweli, maana kama angeona nampotezea muda angeondoka mapema,
 
Ni kweli, maana kama angeona nampotezea muda angeondoka mapema,
Hakuna kuondoka mapema huyo wa kuondoka mapema nae hana akili,mwanamke makini lazima aijue na aikubali hali ya mwenzake akiambiwa subiri ni-set jambo fulani anasubiri.

Dawa ya wenye haraka ni kama hii,unamuacha anakufa huku anajiona hakuna masihara kwenye maisha na watakaokuja watajifunza kwake.
 
Fanya mpango umzalishe mtoto wa pili lakini usimuoe.

Huyo mtu hana hisia za dhati kwako lakini kibaya zaidi hana misimamo.

Amejaa tamaa, kifupi wakati anaenda kwa mshikaji, jamaa alikuzidi maisha na pangekuwa pametulia usingemuona katika maisha yako.

Hivyo hiyo fisi iongezee mzigo halafu tafuta kigori uoe.

N.B Mimi na mke wangu tulikuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka Tisa(9).
Mambo yalivyokaa mswano tukafunga ndoa na sherehe aliyotaka ila huko mwanzoni ilikuwa kusaga na rhumba
 
Mi naona kama moyoni kwako bado ana nafasi mchukue umuoe.. hakikisha unamuhudumia mtoto kama wako, zile elfu 50 zisitishwe na aache mazoea na mzazi mwenzie.
Mwamba!!!

Unamshaurije mwanaume mwenzako kitu kama hiki?huyo ni malaya kama malaya wengine tofauti yake na wale wanaojipanga barabarani ni yeye amezalishwa hakuna kingine.

Huyo tena atupe a-block kabisa asiruhusu mazoea ya kijinga wanawake shukrani hawana,take it from me bruh!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui Wana akili Gani

Yaani kakusaliti / haitoshi kazaa na mwanaume mwingine then anataka mrudiane !? Therefore huyo itakuwa anakuona maboya , Wanawake wanapenda beta male Ili wawa sukumizie matatizo Yao , then aki recover ana kupiga tukio lingine sianakuona bwege
 
Hakuna mwanamke anaweza kukuvumilia ujipange kumuoa kwa miaka 10 usimlaumu bure.

Shida tunawalaumu kina mama bila kuwaza upande wa pili. Wewe unaweza ona ndoa sio ishu kuuuuubwa ila kwa kina mama huwa ni kitu sensitive sana. Umekaa nae miaka 10 huo sio uchumba tena ni kitu kingine. Kwani lazima umuoe kwa harusi kubwa, ungefunga nae ndoa nakuhakikishia huyo mama angekuvumilia kwa tabu na raha zako.

Ukishakuwa na mwanamke ambae age inasogea ndoa huwa ni sensitive sana. Kama unampenda muoe kisha muendelee kutafuta maisha pamoja.
Kwa hiyo huko alipokwenda aliipata hiyo ndoa !?
 
Mwamba!!!

Unamshaurije mwanaume mwenzako kitu kama hiki?huyo ni malaya kama malaya wengine tofauti yake na wale wanaojipanga barabarani ni yeye amezalishwa hakuna kingine.

Huyo tena atupe a-block kabisa asiruhusu mazoea ya kijinga wanawake shukrani hawana,take it from me bruh!!!
Asilimia kubwa wanaozalishwa ni sababu ya tamaa, anafuata mali za chap chap anaishia kutemwa na mtoto juu,
Kurudiana ni kurudia kosa na kurudia kosa ni kosa kubwa.
 
Fanya mpango umzalishe mtoto wa pili lakini usimuoe.


Huyo mtu hana hisia za dhati kwako lakini kibaya zaidi hana misimamo.

Amejaa tamaa, kifupi wakati anaenda kwa mshikaji, jamaa alikuzidi maisha na pangekuwa pametulia usingemuona katika maisha yako.

Hivyo hiyo fisi iongezee mzigo halafu tafuta kigori uoe.

N.B Mimi na mke wangu tulikuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka Tisa(9).
Mambo yalivyokaa mswano tukafunga ndoa na sherehe aliyotaka ila huko mwanzoni ilikuwa kusaga na rhumba
Unampotosha huyo adhabu aliyoipata inamtosha hapo ni jamaa kukaa nae mbali 100metre hakuna kumchekea tena hafai hata kuwa mchepuko.

Hivi ulishawahi kuwaza utakuwa ktk hali gani mwanamke anakuita au anaku-text “mimi na wewe sioni future yoyote bora tuachane” na hapo wewe ndo ulipanga uje umuowe?
 
Yes siyo kila single maza hajitambui mkuu, makosa kila mtu anakosea, na kuna kujifunza kutokana na hayo. Ampe nafasi nyingine.
Ungekuwa wewe ungeweza , Mtu kakusaliti na kazaa na mwanaume aliye kusaliti halafu urudiane ,!? Hiyo sio sifa ya kiume

Nguzu ya mwisho kabisa inayo shikilia mahusiano ni Uaminifu mahusiano yakisha kuwa na usaliti ndani yake Yana umuhimu Gani wa kuendelea kuwepo !?

Hapo wawe wanatiana tu kupashana viporo that's all kinyume na hapo kurudiana nae as main chick ni ujinga
 
Mwanamke akikuacha lazma akufatilie kila kona kuanzia whatsapp, facebook, insta yani atataka ajue una nini ama umepata demu tena. Akiona unapost majungu tu anajua kakuweza [emoji23][emoji23][emoji23]!

Ana kapost kabwana kake kenye Crown
Unaachana nae then still unasubiri Nini kufuta digits zake ,
 
Vipi nayeye kumuweka rehani miaka 10, kama ni mtoto yupo darasa tano kabisa.
Mtoa post amesema kuwa ktk hiyo miaka 10 huo mwaka wa mwisho wa 10 Alisha muambia kuwa anataka kumuoa na alishaanza huo mchakato


Binti akaona ni Bora akatae ndoa yenye uhakika aliyo isubiria miaka 10 na kilicho Bora kwake ni kwenda ku date na mwanaume ambaye Hana uhakika kuwa atamuoa ,

What a garbage [emoji706][emoji2781][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hasa wanaume akimtosa msichana anatamani apate ka jamaa ka hovyo hovyo na akipata tofauti na alivyoomba huumia sana nakuishia uhuni tu na tamaa ya pesa vilimpeleka kumbe roho inauma.[emoji3]
Mimi mbona sinaga hizo
 
Back
Top Bottom