Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui Wana akili Gani

Yaani kakusaliti / haitoshi kazaa na mwanaume mwingine then anataka mrudiane !? Therefore huyo itakuwa anakuona maboya , Wanawake wanapenda beta male Ili wawa sukumizie matatizo Yao , then aki recover ana kupiga tukio lingine sianakuona bwege
Nilikuwa nawaza mengi aliponitafuta ila nimeamua nimuache tu aendelee kuteseka.
 
Hata mm Jana x alieyenikimbia kanitafuta anaomba nimsadie buku ya vocha

Bas namm katk kufatiliaga kuwa kaolewa wapi kumbe hajaolewaga yuko Moro kaaenda kujificha kwenye nyumba fln

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Naxwew Ni boya kweli miaka kumi ktk uchumba kumbe haya mambo yapo mm nadhAnigi kuwa Ni uzushi kumbe real kbsa unakahh na mtot wa watu miaka kumi aise wew ulishindwa hata kupiga mimba mkuu au Kuna tatizo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo jumla ni miaka 15? Acheni kuwazeesha watoto wa watu. Subiri haya mnayofanya watafanyiwa watoto wenu wa kike mtaona jinsi roho inauma. Karma
Sasa unachomlaumu huyu jamaa ni nini?
Alitaka kumuoa bibie akampenda mwenye Rav4, amepigwa na kitu kizito amerudi kwa mshkaji,kwanza jamaa ana roho nzuri mno kufikia hatua ya kumsikiliza huyo mdada
 
Naxwew Ni boya kweli miaka kumi ktk uchumba kumbe haya mambo yapo mm nadhAnigi kuwa Ni uzushi kumbe real kbsa unakahh na mtot wa watu miaka kumi aise wew ulishindwa hata kupiga mimba mkuu au Kuna tatizo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwenye mimba kweli niliyumba, ila nilikuwa na mipango naye
 
Hakuna mwanamke anaweza kukuvumilia ujipange kumuoa kwa miaka 10 usimlaumu bure.

Shida tunawalaumu kina mama bila kuwaza upande wa pili. Wewe unaweza ona ndoa sio ishu kuuuuubwa ila kwa kina mama huwa ni kitu sensitive sana. Umekaa nae miaka 10 huo sio uchumba tena ni kitu kingine. Kwani lazima umuoe kwa harusi kubwa, ungefunga nae ndoa nakuhakikishia huyo mama angekuvumilia kwa tabu na raha zako.

Ukishakuwa na mwanamke ambae age inasogea ndoa huwa ni sensitive sana. Kama unampenda muoe kisha muendelee kutafuta maisha pamoja.
Miaka 10 kama mnaishi kwa amani nyumba moja hata sio tatizo, mbona Kuna watu hubariki ndoa wakiwa na miaka 50+, kikubwa ingekuwa utambulisho wa pande mbili ili ijulikane kuwa wanaishi pamoja na kulipa mahari, hayo mengine yote ni porojo tu!
Commitment ya "katika shida na raha, mpaka kifo kitutenganishe" sio ya kuiendea pupa ujue...

Haya, sasa aliondoka kuitafuta ndoa ya chap chap, aliipata?
 
Yaani miaka kumi mtu kakuvumilia mapungufu yako eti unaona kosa lake ni kosaaa kubwaaaa tafuta malaika mkuu ufunge nae ndoa bila kusahau bikra.
 
Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Very true,mdada mmoja jana alikuwa anasimuliwa na rafiki yake kwamba X wake amefulia na kupauka mno, mdada kafurahi kweli kweli, nikamsikia "akome na bado, yaani anavyoteseka mimi moyo wangu kwatuuuu"

Nikajisemea moyoni, aisee hii dunia INA mambo sana!
 
Tulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.

Ikabidi niheshimu mawazo yake japo roho iliniuma mpaka kufikia hatua nikawa napata maumivu kwenye moyo.

Nakumbuka kuna siku nilikuwa namfuatilia kwenye facebook nikitamani kujua aliyenipiku ananini kunizidi, nikakuta kamposti jamaa fulani mfupi kapiga picha mbele ya rav 4, roho iliniuma sana na ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukosa usingizi mpaka asubuhi, na kiherehere cha kumfuatia kikaishia palepale.

Baada ya kupita miaka mitano, Mwaka jana siku moja napeleka mzigo wa mteja mara simu ikaita kuchek namba ya airtel, kupokea anasema mimi I, nikamuambia mimi siongeagi na wake za watu akasema hajaolewa.

Akasema amenimiss anatamani kuniona tukapanga tukakutana, nilikuwa na hamu ya kuona maisha anayoishi,
Tukaenda anapoishi ni chumba kimoja kidogo kina kitanda tu na jiko la mkaa, amepauka amekonda. Akawa anampa mtoto kipande cha tikiti maji.

Hana kazi anategemea elfu 50 ya malezi ya mtoto anayopata kila mwezi kutoka kwa baba wa mtoto. Yenyewe aliipata kwa mbinde kupitia ustawi wa jamii.

Akanielezea kuwa yule mwanaume alikuwa ameoa ana watoto wa 3 na amezalisha wanawake kibao.

Akaniomba numpe nafasi awe mke bora mi nikawa namcheki tu alivyopauka.

Hivi kweli nipambanie maisha mpaka hapa nilipo alafu nioe mwanamke mwenye mtoto tena aliyenidhau.

Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Wanawake ni watu wa ovyo sana japo si wote. Alishakudharau akakupiga chini.

Kasikilize "dear ex" wa Marioo. Wajuba huwa haturidiagi matapishi.
 
Sawa alikuacha ila Mimi naona alikuwa ana haki kabisa kuachana na wewe, miaka 10? Unamfanya tu Mtoto wa watu hata kwao haujajitambulisha yaani hakuna process yoyote uliyoifanya ili awe na uhakika kwamba ndio wewe, miaka 10 aendelee kubeti??..... Usimlaumu kwanini alikuacha na isijekuwa bado haujaoa pamoja na muda mrefu wote huo. Mwanamke Ili akuvumilie anahitaji assurance kwamba uvumilivu wake siku Moja utazaa matunda akipiga mahesabu akikuta hamna matunda hata ungekuwa wewe usingekaa
 
Sawa alikuacha ila Mimi naona alikuwa ana haki kabisa kuachana na wewe, miaka 10? Unamfanya tu Mtoto wa watu hata kwao haujajitambulisha yaani hakuna process yoyote uliyoifanya ili awe na uhakika kwamba ndio wewe, miaka 10 aendelee kubeti??..... Usimlaumu kwanini alikuacha na isijekuwa bado haujaoa pamoja na muda mrefu wote huo. Mwanamke Ili akuvumilie anahitaji assurance kwamba uvumilivu wake siku Moja utazaa matunda akipiga mahesabu akikuta hamna matunda hata ungekuwa wewe usingekaa
Umeandika ukweli mkuu
 
Sawa alikuacha ila Mimi naona alikuwa ana haki kabisa kuachana na wewe, miaka 10? Unamfanya tu Mtoto wa watu hata kwao haujajitambulisha yaani hakuna process yoyote uliyoifanya ili awe na uhakika kwamba ndio wewe, miaka 10 aendelee kubeti??..... Usimlaumu kwanini alikuacha na isijekuwa bado haujaoa pamoja na muda mrefu wote huo. Mwanamke Ili akuvumilie anahitaji assurance kwamba uvumilivu wake siku Moja utazaa matunda akipiga mahesabu akikuta hamna matunda hata ungekuwa wewe usingekaa
Si bora angebeti kwangu kuliko huko alikoenda
 
Kama ni destiny yao watakua pamoja tu no matter what!! Labda jamaa amkazie though bado anamkubali na kumpenda pia
Hakuna Cha destiny Wala Nini.

Watu njaa zimewashika

Si alikimbilia RAV 4.

Ungesema.ni destiny labda wangeachana kwa sababu zingine zenye mashiko.

Jamaa akimrudia tu AMEKWISHA atakuja hapa kuleta mrejesho au VINGINEVYO.


Screenshot_20220814-231610.jpg
 
Back
Top Bottom