whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
- Thread starter
-
- #161
Nilikuwa nawaza mengi aliponitafuta ila nimeamua nimuache tu aendelee kuteseka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui Wana akili Gani
Yaani kakusaliti / haitoshi kazaa na mwanaume mwingine then anataka mrudiane !? Therefore huyo itakuwa anakuona maboya , Wanawake wanapenda beta male Ili wawa sukumizie matatizo Yao , then aki recover ana kupiga tukio lingine sianakuona bwege
😂😂 Unayajua mapenzi wewe, unaeza shangaa kesho anakuja na uzi wamerudiana 🤣Hata kama hajaoa asirudiane nae [emoji16]
Sasa unachomlaumu huyu jamaa ni nini?Kwa hiyo jumla ni miaka 15? Acheni kuwazeesha watoto wa watu. Subiri haya mnayofanya watafanyiwa watoto wenu wa kike mtaona jinsi roho inauma. Karma
Mpe tu Mungu atakuongezeaHata mm Jana x alieyenikimbia kanitafuta anaomba nimsadie buku ya vocha
Bas namm katk kufatiliaga kuwa kaolewa wapi kumbe hajaolewaga yuko Moro kaaenda kujificha kwenye nyumba fln
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwenye mimba kweli niliyumba, ila nilikuwa na mipango nayeNaxwew Ni boya kweli miaka kumi ktk uchumba kumbe haya mambo yapo mm nadhAnigi kuwa Ni uzushi kumbe real kbsa unakahh na mtot wa watu miaka kumi aise wew ulishindwa hata kupiga mimba mkuu au Kuna tatizo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Miaka 10 kama mnaishi kwa amani nyumba moja hata sio tatizo, mbona Kuna watu hubariki ndoa wakiwa na miaka 50+, kikubwa ingekuwa utambulisho wa pande mbili ili ijulikane kuwa wanaishi pamoja na kulipa mahari, hayo mengine yote ni porojo tu!Hakuna mwanamke anaweza kukuvumilia ujipange kumuoa kwa miaka 10 usimlaumu bure.
Shida tunawalaumu kina mama bila kuwaza upande wa pili. Wewe unaweza ona ndoa sio ishu kuuuuubwa ila kwa kina mama huwa ni kitu sensitive sana. Umekaa nae miaka 10 huo sio uchumba tena ni kitu kingine. Kwani lazima umuoe kwa harusi kubwa, ungefunga nae ndoa nakuhakikishia huyo mama angekuvumilia kwa tabu na raha zako.
Ukishakuwa na mwanamke ambae age inasogea ndoa huwa ni sensitive sana. Kama unampenda muoe kisha muendelee kutafuta maisha pamoja.
Very true,mdada mmoja jana alikuwa anasimuliwa na rafiki yake kwamba X wake amefulia na kupauka mno, mdada kafurahi kweli kweli, nikamsikia "akome na bado, yaani anavyoteseka mimi moyo wangu kwatuuuu"Mara nyingi ma X huwa wanaombeana kufulia[emoji23] sema tabia hii wanayo madem zaidi.
Wanawake ni watu wa ovyo sana japo si wote. Alishakudharau akakupiga chini.Tulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.
Ikabidi niheshimu mawazo yake japo roho iliniuma mpaka kufikia hatua nikawa napata maumivu kwenye moyo.
Nakumbuka kuna siku nilikuwa namfuatilia kwenye facebook nikitamani kujua aliyenipiku ananini kunizidi, nikakuta kamposti jamaa fulani mfupi kapiga picha mbele ya rav 4, roho iliniuma sana na ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukosa usingizi mpaka asubuhi, na kiherehere cha kumfuatia kikaishia palepale.
Baada ya kupita miaka mitano, Mwaka jana siku moja napeleka mzigo wa mteja mara simu ikaita kuchek namba ya airtel, kupokea anasema mimi I, nikamuambia mimi siongeagi na wake za watu akasema hajaolewa.
Akasema amenimiss anatamani kuniona tukapanga tukakutana, nilikuwa na hamu ya kuona maisha anayoishi,
Tukaenda anapoishi ni chumba kimoja kidogo kina kitanda tu na jiko la mkaa, amepauka amekonda. Akawa anampa mtoto kipande cha tikiti maji.
Hana kazi anategemea elfu 50 ya malezi ya mtoto anayopata kila mwezi kutoka kwa baba wa mtoto. Yenyewe aliipata kwa mbinde kupitia ustawi wa jamii.
Akanielezea kuwa yule mwanaume alikuwa ameoa ana watoto wa 3 na amezalisha wanawake kibao.
Akaniomba numpe nafasi awe mke bora mi nikawa namcheki tu alivyopauka.
Hivi kweli nipambanie maisha mpaka hapa nilipo alafu nioe mwanamke mwenye mtoto tena aliyenidhau.
Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Ni mingi?Ulimgaragaza mwenzio kwa 10 years, dah!!
Hapana michache ungeongezaa 20 minginee...!!Ni mingi?
Sasa unaiona michache mzee? 😂Ni mingi?
Sawa kwa nyie watoto wa kishua unaoa tu mda wowote, lakini sisi tukitaka kuruka lazima tuagane na nyonga.Sasa unaiona michache mzee? 😂
Umeandika ukweli mkuuSawa alikuacha ila Mimi naona alikuwa ana haki kabisa kuachana na wewe, miaka 10? Unamfanya tu Mtoto wa watu hata kwao haujajitambulisha yaani hakuna process yoyote uliyoifanya ili awe na uhakika kwamba ndio wewe, miaka 10 aendelee kubeti??..... Usimlaumu kwanini alikuacha na isijekuwa bado haujaoa pamoja na muda mrefu wote huo. Mwanamke Ili akuvumilie anahitaji assurance kwamba uvumilivu wake siku Moja utazaa matunda akipiga mahesabu akikuta hamna matunda hata ungekuwa wewe usingekaa
Si bora angebeti kwangu kuliko huko alikoendaSawa alikuacha ila Mimi naona alikuwa ana haki kabisa kuachana na wewe, miaka 10? Unamfanya tu Mtoto wa watu hata kwao haujajitambulisha yaani hakuna process yoyote uliyoifanya ili awe na uhakika kwamba ndio wewe, miaka 10 aendelee kubeti??..... Usimlaumu kwanini alikuacha na isijekuwa bado haujaoa pamoja na muda mrefu wote huo. Mwanamke Ili akuvumilie anahitaji assurance kwamba uvumilivu wake siku Moja utazaa matunda akipiga mahesabu akikuta hamna matunda hata ungekuwa wewe usingekaa
Hakuna Cha destiny Wala Nini.Kama ni destiny yao watakua pamoja tu no matter what!! Labda jamaa amkazie though bado anamkubali na kumpenda pia