Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Sahihi kabisa. Asibembeleze kabisa, ila mahari aliyo toa ana haki ya kurudishiwa ashirikishe wazee
 
Ushachapiwa mkuu. Kubaliana na msimamo wake la sivyo utateseka sana
 


Shukuru Mungu, atakupigia magoti
 
A Achana nae tafta mwingine.
 
Pole sana kwa hayo ila Pia mshukuru sana Mungu amekuepusha na hilo janga hali ingekuwa mbaya zaidi huko kqenye ndoa
 
Huyo ni mzuri amekuonea huruma mapema anyway in Short BABY YAKO ANA BEBY YAKE
 
Yuko kwa bwana wake wewe alikuwa nakuchuna tu.
Songa mbele kubali ukweli usiendelee kumng'ang'ania
 
Waambie wakurudishie mahali yako ata bro wangu ilishawai kumkuta kama hii inshu mwisho mdada alipowekeza hisia zake napo kulikua na mwenyew mwisho aliamua kujiua kukwepa aibu
 
Wewe umia sana ila shukuru Mungu umeachwa wakati sahihi. Ungeoa halafu ukaachwa ungeua au kujidhuru. Kadai chako utafute namna ya kusahau. Kadai chako halafu ujue siyo kweli kwamba mama yake hajui.
Swali kwanini unaongea na mama yake baba yake yuko wapi?
 
Shukuru Mungu umeujua ukweli mapema na shukuru kwa hilo yule wako atakufikia
 
Mkuu Kanuni ya Kuishi na Hawa Viumbe Ni Kuishi Nao Kwa Akili Akupende Kwanza Yeye Ndio Uwekeze Vingine Sasa Wewe Umeshika Visenti Ukafikiri Ndio Utamtuliza. Pole yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…