Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Hujui la kufanya? Mungu anakupenda anakuepusha na balaa kwa kujuonesha ishara za wazi kabla hujadumbukia shimoni na wewe bado unang'ang'nia tu.
Tafuta mke mwingine, omba urudishiwe mahari yako
 
Kaishakuonesha uoande wa pili ulivyo, achana nae huyo, na ukilazimisha sana shetani atakuingia mazimaa uje kufany jambo baya na uje kujutia baadae, maisha bado yapo sana, anza upya kama ulivyoanza mwanzo.
 
sasa wewe mbona Mwenyezi Mungu anakupenda na ameamua kukufunulia mapema na inatakiwa umshukuru sana Bro ?

imagine ungefunga naye ndoa nini kingetokea mbele ?

Jamaa yangu kaoa kwa ndoa kubwa sana baada ya ndoa Mke kupika hataki,ndani hashishiki,Jamaa akitoka kazini inabidi akatafute chips aje ale na mkewe.

Baada ya miezi miwili ya ndoa Mke alibeba milioni 9 ya Mumewe akatokomea kusikojulikana siku moja Mume anapiga simu ya Mkewe inapokelewa na Njemba nyingine Mume anaambiwa aache ufala na aharakishe talaka ya aliyekua Mkewe yeye hana hadhi ya kuishi na Mke mzuri kama yule.

we mshukuru sana Mwenyezi Mungu piga chini kila kitu kimbia usiangalie nyuma nenda kaanze moja .
 
Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
hisia zimeisha kabla ya ndoa, na mkiingia kwenye ndoa si atakuona nyau kabisa


ata akibadir mawazo usirudiane nae, utakuja kunishukuru
au ukitaka kuwa philosopher mbembeleze akurudie
 
Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Pole sana..piga chini..jipange upya
 
Suala la bf na gf sijui tumeishi miaka 10 bila ndoa huwa nayaona kama ni uzinzi tu kama uzinzi mwingine
Kama ulikuwa huna ndoa nae miaka yote basi kuna wengine nao hawana ndoa nae wanajilia
Na mmoja wao ndio kamwambia achana nalo
Mimi ntakuoa
Sasa ushauri wangu achana nae wala usidai kitu ila kawajulishe wazazi wake kama unakujua kwao labda alikupeleka kwa washikaji tu
Maana kujuana ukubwani mbaya nayo hujui hata alikotoka

Nenda kawaambie arusi imevunjika
Arusiii imevunjika, nilietaka kumuoa, amenikatalia bila kosa
Ni wimbo wa Mwinshehe
 
sasa wewe mbona Mwenyezi Mungu anakupenda na ameamua kukufunulia mapema na inatakiwa umshukuru sana Bro ?

imagine ungefunga naye ndoa nini kingetokea mbele ?

Jamaa yangu kaoa kwa ndoa kubwa sana baada ya ndoa Mke kupika hataki,ndani hashishiki,Jamaa akitoka kazini inabidi akatafute chips aje ale na mkewe.

Baada ya miezi miwili ya ndoa Mke alibeba milioni 9 ya Mumewe akatokomea kusikojulikana siku moja Mume anapiga simu ya Mkewe inapokelewa na Njemba nyingine Mume anaambiwa aache ufala na aharakishe talaka ya aliyekua Mkewe yeye hana hadhi ya kuishi na Mke mzuri kama yule.

we mshukuru sana Mwenyezi Mungu piga chini kila kitu kimbia usiangalie nyuma nenda kaanze moja .
Mkuu hii story yako km ni kweli BASI hali inatisha...
 
Jitahidi kuongea na MUNGU vizuri kama ni mpango wa MUNGU basi atakwenda zake ila kama si mpango wa MUNGU nyie kuachana ni mapenzi ya mwanadamu Basi atabaki kwako..
Wengi hawadumu kwa mahusiano na ndoa kwakua wanamsahau sana MUNGU,
(si kila mtu anapenda kuona Tabasamu lako usoni).
 
Kikubwa kadai mahari yako (ok inaweza isirufi kwasababu ulikuwa ukiichakata mbususu bure). Kikubwa ni kutambua kuwa Mungu bado anakupenda kwa kukufunulia ishara zake mapema kabla hujanasa ktk huo mtego na kujutia mbeleni.Cha Msingi wewe temana nae anza maisha mapya bila yeye.

Huyo mwanamke ni malaya, huko alipokwenda amekwenda kwa mwanaume wake aliyekuwa akimnyandua pindi bado upo kwenye mahusiano nae.
 
Back
Top Bottom