Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa huru

Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa huru

huo ni utaratibu mbovu sana! kulala na kula ndo anatakiwa alipie kwanza ila zile extra services ndo analipia baadae sasa acha waburutane na nyumbu...😂
Kuna maelezo yanakosekana hapa. Sidhani kama ni mtu hohehahe amejitokea tu nyumbani na kwenda kufanya haya. Ni hoteli gani wataruhusu mtu kukaa siku zote hizo bila kulipa huku anakula na kulala?
 
Serena Hotel Management has to be very careful with this case. It may expose them negatively to the public. If I were their advisor on this, I would tell them not to institute even the civil case against that 'hooligan'. Serena Hotel faulted and it has to carry its consequences and re-arrange itself.
 
Bila shaka hakimu ameamua hivyo ili kuwezesha hotel kuweza kupata malipo yake. Maana kama angeendelea na jinai kisha mhusika akafungwa mdai hawezi kuja tena kufungua kesi ya madai maana atazuiliwa kuwa kipengele kuwa kesi ilishaamuliwa tayari.
Kujua sheria raha sana. Ukifikishwa mahakamani kwa kesi ambayo sio unatoka mapema tu, na ikiwezekana na wao unawageuzia kibao cha defamation maana wamekudhalilisha.

Kesi ya madai unamfungulia mtu jinai kweli? Mimi ningekuwa huyo mwamba na mimi ningewageuzia kibao hapo hapo.
 
Kujua sheria raha sana. Ukifikishwa mahakamani kwa kesi ambayo sio unatoka mapema tu, na ikiwezekana na wao unawageuzia kibao cha defamation maana wamekudhalilisha.

Kesi ya madai unamfungulia mtu jinai kweli? Mimi ningekuwa huyo mwamba na mimi ningewageuzia kibao hapo hapo.
Kwahiyo jamaa anaweza wadai fidia na vinywaji kanywa, watanzania kazi zinazotufaa ni mgambo wa jiji, hizi zingine tuwaachie wakenya wahindi na waganda
 
Bila shaka hakimu ameamua hivyo ili kuwezesha hotel kuweza kupata malipo yake. Maana kama angeendelea na jinai kisha mhusika akafungwa mdai hawezi kuja tena kufungua kesi ya madai maana atazuiliwa kuwa kipengele kuwa kesi ilishaamuliwa tayari.
Tangu awali wangefungua kesi ya madai, hawa mameneja tunawatoaga wapi? Itabidi nikaombe kazi ya kufua mashuka hapo kuna hela za bure
 
Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.

Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.

Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.

Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai”

Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu.

Pia, soma=> Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani
Bila kapicha wala hainogi,mwamba angeweza akazawadiwa nyumba yenye hadhi ya Serena walikompeleka rupango🤪
 
Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.

Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.

Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.

Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai”

Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu.

Pia, soma=> Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani
Ukute mwamba alikuwa anaenda na Pisi ili aonekane matawi ya Juu
 
Kujua sheria raha sana. Ukifikishwa mahakamani kwa kesi ambayo sio unatoka mapema tu, na ikiwezekana na wao unawageuzia kibao cha defamation maana wamekudhalilisha.

Kesi ya madai unamfungulia mtu jinai kweli? Mimi ningekuwa huyo mwamba na mimi ningewageuzia kibao hapo hapo.
Polisi aliyeandaa kesi hiyo Dpp atafutwe alishindwaje kutambua hiyo ni madai
 
😁 Baba wa mtu fulani na ni mume wa mtu fulani huyo..
sasa mpaka anakula hawakujua kuwa anakula nakulala na utaratibu si mtu huwa analipa kwanza ndo anatumia au vipi...?
Mkuu ushalala hata Hotel ya nyota tatu? Watu huwa wanalipa siku wana check out. Na katikati hapo unatoka hotelini unaenda kupiga misele. Jamaa atakuwa kachukua advantage ya utaratibu huo.
 
Back
Top Bottom