Unaweza kuta tangu waanze biashara hapa Tz hajawahi kutokea mteja kama huyu. Nafikiri kuanzia sasa wataanza kuangalia watu usoniNashindwa kuelewa kati ya management nzima ya Serena hoteli na huyo jamaa, wa hovyo zaidi hapo ni nani???? ๐ค ๐
Kwa serena hii sio kesi ya kwanza, wapo wanasiasa washadaiwa mihela kibao, viongozi washawapangishia vimada wakagoma kulipa, hii ndio picha halisi ya uwekezaji tz unapigwa mchana kweupe na hamna msaada, ingekuwa dubai washakata kichwa siku nyingiUnaweza kuta tangu waanze biashara hapa Tz hajawahi kutokea mteja kama huyu. Nafikiri kuanzia sasa wataanza kuangalia watu usoni
Jamaa smart sana huyo๐คฃ๐ Baba wa mtu fulani na ni mume wa mtu fulani huyo..
sasa mpaka anakula hawakujua kuwa anakula nakulala na utaratibu si mtu huwa analipa kwanza ndo anatumia au vipi...?
Swali la kujiuliza hivi hotel kubwa kama Serena haina mwanasheria? Na kama yupo hakujua tangia mwanzo kama hili shauri ni la madai mpaka wakampeleka Polisi kijinai?Tangu awali wangefungua kesi ya madai, hawa mameneja tunawatoaga wapi? Itabidi nikaombe kazi ya kufua mashuka hapo kuna hela za bure
Kenzy eh acha kuniaibisha mkuu. Hotel kubwa zote huduma hutolewa kwanza then malipo baadae(check out). Pia unatakiwa ufahamu kuna watu au taasisi wanapata huduma on credits then wanalipa baadae, mbona hili ni swala dogo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu bwana Kenzy?๐ค๐๐ Baba wa mtu fulani na ni mume wa mtu fulani huyo..
sasa mpaka anakula hawakujua kuwa anakula nakulala na utaratibu si mtu huwa analipa kwanza ndo anatumia au vipi...?
Anadaiwa alphard moja new model ile.Kweni anadaiwa Shilingi ngapi nimlipie?!
mh! mambo yameshabadirika watu hulipia kulala kwanza nakula,na pia kama kama atafanya extra services hizo ndio hulipia wakati anatoka wewe ndio unaniaibisha!,by the way kila hotel na utaratibu wake lkn kwa utaratibu wa kutumia kwanza halafu alipe baadae ni utaratibu wa hovyo sana!Kenzy eh acha kuniaibisha mkuu. Hotel kubwa zote huduma hutokewa kwanza then malipo baadae(check out). Pia unatakiwa ufahamu kuna watu au taasisi wanapata huduma on credits then wanalipa baadae, mbona hili ni swala dogo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu bwana Kenzy?๐ค๐
Bwana Kenzy umeshawahi kulala hotel gani kubwa nchini? Tuanzie hapo kwanza alafu twende with facts on service provision.mh! mambo yameshabadirika watu hulipia kulala kwanza nakula,na pia kama kama atafanya extra services hizo ndio hulipia wakati anatoka wewe ndio unaniaibisha!,by the way kila hotel na utaratibu wake lkn kwa utaratibu wa kutumia kwanza halafu alipe baadae ni utaratibu wa hovyo sana!
Yeah huyo hana utofauti na marehemu Dr. Shika.Changamoto ya afya ya akii inaweza husika .
sijawahi ila navyofahamu ktk vyanzo vyangu vya hakika wanalipa kwanza zile night atakazolala na kama kuna gharama za chakula hulipia moja kwa moja.. so kuna inclusive services na extra hizi extra ndio hulipia baadae!.Bwana Kenzy umeshawahi kulala hotel gani kubwa nchini? Tuanzie hapo kwanza alafu twende with facts on service provision.
Wewe labda unaongelea lodge za mtaani ila kwenye hotels kubwa huwa wanahesabu bili hadi siku ya mwisho unayoondoka ndio unalipa.mh! mambo yameshabadirika watu hulipia kulala kwanza nakula,na pia kama kama atafanya extra services hizo ndio hulipia wakati anatoka wewe ndio unaniaibisha!,by the way kila hotel na utaratibu wake lkn kwa utaratibu wa kutumia kwanza halafu alipe baadae ni utaratibu wa hovyo sana!
haha! ngoja nikuache kama ulivyo ila nikuambie ukweli waulize wenye hotel ndio huwa wanajua vichwa vya wageni wao walivyowasumbufu!.. ndio maana wakaweka utaratibu wakulipia kwanza ukiona kaenda kulipia wakati anatoka huwa ni extra charge labda alitumia vitu vyengine vya ziada!.. ndio maana nikaandika kama hao Serena wanamlipisha mteja bills zote siku anatoka basi ni utaratibu wa hovyo sana!.Wewe labda unaongelea lodge za mtaani ila hotels kubwa huwa wanahesabu bili hadi siku ya mwisho unayoondoka ndio unalipa.
Siyo kweli...Wewe labda unaongelea lodge za mtaani ila kwenye hotels kubwa huwa wanahesabu bili hadi siku ya mwisho unayoondoka ndio unalipa.
Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.
Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.
Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.
Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema โinaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madaiโ
Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.
Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu.
Pia, soma=> Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani
Goba ni shidaMkazi wa GOBA.