Wateja wengine huwa wanatumia credit cards ambazo baada ya muda malipo yana bounce kutokana na insufficient funds!!Kuna maelezo yanakosekana hapa. Sidhani kama ni mtu hohehahe amejitokea tu nyumbani na kwenda kufanya haya. Ni hoteli gani wataruhusu mtu kukaa siku zote hizo bila kulipa huku anakula na kulala?
Naona walikua wana force iwe jinai ili mteja aogope,na kosa najua waliweka la kujipatia chakula na malazi kwa njia ya udanganyifu, sema hakimu kasanuka na kuitupa kesi kwenye madai!!Polisi aliyeandaa kesi hiyo Dpp atafutwe alishindwaje kutambua hiyo ni madai
Zaidi ya Wali Beanz silipi.Anadaiwa alphard moja new model ile.
Kwa hiyo unataka kusema ni tabia za watu wa Goba kupenda mitelezo au!??Mkazi wa GOBA.
Hapo umeshahukumu bila kusikiliza pande zote mbili?Serena Hotel Management has to be very careful with this case. It may expose them negatively to the public. If I were their advisor on this, I would tell them not to institute even the civil case against that 'hooligan'. Serena Hotel faulted and it has to carry its consequences and re-arrange itself.
Management ndio makauzuNashindwa kuelewa kati ya management nzima ya Serena hoteli na huyo jamaa, wa hovyo zaidi hapo ni nani???? ๐ค ๐
Ashakuwa maarufu tayari. Akihojiwa na vitivii vya mtandaoni baas tena. Anachukua nafasi ya Mandonga fasta. Na kile chama kinapendaga watu kama hao.Kibongobongo atakuwa maarufu
Mendonga style
Ova
Ni prepaid bro, aidha kabla hauja check in ama wakati una check in pale reception... Ni wageni wachache sana wanapata access ya kuingia bila kufanya malipo ya kabla (kutokana na sababu zao) kama mtandao kusumbua wakati wa malipoWewe labda unaongelea lodge za mtaani ila kwenye hotels kubwa huwa wanahesabu bili hadi siku ya mwisho unayoondoka ndio unalipa.
Wewe wasema.Kwa hiyo unataka kusema ni tabia za watu wa Goba kupenda mitelezo au!??
Uko sahihi kuna kitu nilichanganya,kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye mahotel then ikawa siku ya kucheck out tunahesabu bills zote kisha wanalipwa lakini nimekumbuka kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya udhamini wa kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.Ni prepaid bro, aidha kabla hauja check in ama wakati una check in pale reception... Ni wageni wachache sana wanapata access ya kuingia bila kufanya malipo ya kabla (kutokana na sababu zao) kama mtandao kusumbua wakati wa malipo
Unajua kuwa hotel zina sera ya kumtaka mteja aache details za Kadi iliyo na kiasi cha pesa... ili ukisumbua watu wanavuta pesa kutoka kwenye kadi..??
Unajua kama kuna hotel zina sera ya malipo ya kabla angalau 25% ili kulinda malazi yako uliyo reserve kabla ya kufika (arrival/check in) ili ikitokea kama unafanya last minute cancelation basi pesa inafidiwa kama hasara..???
So kuhitimisha hotel zina sera za malipo ya kabla, lipa ndio uingie chumbani
Hakuna kesi hapo.Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.
Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.
Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.
Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema โinaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madaiโ
Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.
Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu.
Pia, soma=> Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani
sasa mbona ulikuwa unanishupalia mmbichwa...??๐Uko sahihi kuna kitu nilichanganya,kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye mahotel then ikawa siku ya kucheck out tunahesabu bills zote kisha wanalipwa lakini nimekumbuka kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya udhamini wa kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.
Ila kwa mtu binafsi ni kweli hawawezi kukubali maana akitoroka hawana pa kumpata.
We huelewi nini? Nature ya kesi sio ya jinai bali ni ya madai .hakimu hajaamua kumuachia huru kwa kutaka au kupenda kwake au kwa kutoka kumsaidia mtu fulani bali ni kwa matakwa ya sheria. Ata angeamua kuendesha kesi kama ya jinai akamfunga jamaa ,uko mbele jamaa angekata rufaa na kutoka .jifunze kuelewa kilichoandikwa.Bila shaka hakimu ameamua hivyo ili kuwezesha hotel kuweza kupata malipo yake. Maana kama angeendelea na jinai kisha mhusika akafungwa mdai hawezi kuja tena kufungua kesi ya madai maana atazuiliwa kuwa kipengele kuwa kesi ilishaamuliwa tayari.
Nilikuwa nakuchallenge tu ili nione kama una uhakika na unachoongea au unabahatisha tu๐๐๐๐sasa mbona ulikuwa unanishupalia mmbichwa...??๐
wizi mtupu!Nilikuwa nakuchallenge tu ili nione kama una uhakika na unachoongea au unabahatisha tu๐๐๐๐
Ataanza kupata Mapromota kama ilivyotokea kwa Dr. ShikaAshakuwa maarufu tayari. Akihojiwa na vitivii vya mtandaoni baas tena. Anachukua nafasi ya Mandonga fasta. Na kile chama kinapendaga watu kama hao.