Teh teh teh teh teh teh teh!
Huyu jama amebaki anaangalia aimbe staili gani ili walau aendelee kubaki kwenye headline.
Muziki mtamu tuliouzoe kutoka kwa diamond miaka ya 2010, 2011, 2012,2013,2014, siyo kama miziki tunayoiona ikiimbwa na msanii huyu kwa sasa ni kama kapoteza mwelekeo.
Duuhhh! kwa hali hii muda si mrefu si kuuza karanga tu bali hata kukusanya taka kitamhusu
Huyu jama amebaki anaangalia aimbe staili gani ili walau aendelee kubaki kwenye headline.
Muziki mtamu tuliouzoe kutoka kwa diamond miaka ya 2010, 2011, 2012,2013,2014, siyo kama miziki tunayoiona ikiimbwa na msanii huyu kwa sasa ni kama kapoteza mwelekeo.
Duuhhh! kwa hali hii muda si mrefu si kuuza karanga tu bali hata kukusanya taka kitamhusu