mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷
Maji yanageuzwa divai kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Wajuzi wa kitabu cha DanielHawa wazuri sana wa kutoa dalili na kutabiri mwisho wa dunia!
Hahaa..Ukiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
PombeDivai ni nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa si ndio wanasema kuna mungu mama na mungu baba?
[emoji23][emoji23][emoji23]Katoliki kwa mbege hamjambo..naishi karibu nalo aisee father akiteremka madhabahuni tu yupo grocery Ni balaa
Winners Chapel International .... a.k.a Living Faith ChurchKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
[emoji23][emoji23][emoji23] dah eti siraHiki kitabu hakipo kwenye kila biblia
[emoji23][emoji1787][emoji1787]Maria sio Bikira wewe
Bikira hubomoka kwa njia mbili kuu
Kwa Bikira Kuingiliwa na mwanaume au kwa kuzaa
Maria alimzaa Yesu na Yesu kutoka Tumboni azaliwe duniani Bikira ilibomoka wakati anatoka!! Baada ya kuzaa Yesu hakuna Bikira ilibaki.Kaulize mkunga yeyote
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Mimi sikushauri juu ya kanisa lipi...ila ushauri wangu ni kukuhimiza kuomba mungu huyo wa YESU Kristo akuonyeshe pa kusali...kwa kipindi cha sasa...hali ya imani imekuwa tata sana kujua wapi panafaa...ila ukimwomba mwenye kanisa(YESU) atakuongoza maana pekee ndio anauchungu na roho yako..sie wengine humu ni marketing officers wa madini yetu..hatuna pa kukupele siku ya mwisho...OMBA MUNGU na atakuunganisha na mahali sahihi kwako.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Uko sahihi kwa sasa mtu lazima aombe mwenye Kanisa Yesu mwenyewe amuonyeshe pa kusali na ataonyesha .Hali si nzuriMimi sikushauri juu ya kanisa lipi...ila ushauri wangu ni kukuhimiza kuomba mungu huyo wa YESU Kristo akyinyeshe pa kusali...kwa kipindi cha sasa...hali ya imani imekuwa tata sana kujua wapi panafaa...ila ukimwomba mwenye kanisa(YESU) atakuongoza maana pekee ndio anauchungu na roho yako..sie wengine humu ni marketing officers wa madini yetu..hatuna pa kukupele siku ya mwisho...OMBA MUNGU na atakuunfanisha na mahali sahihi kwako.
Makanisa mengine ni mahekalu ya freemason yataka uelewa sana kuyatambua ila utambuliwa kwa matendo yaoMkuu, hii mpya kwangu. Wanataja yes?