Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Si kweli.Lakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli.Lakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
[emoji28][emoji23][emoji23] eti walikuwa wakijichanganyaKifupi ukiona kwenye Biblia inaongelea Divai inayolevya wanaongelea mvinyo Watafsiri walikuwa wakijichanganya .Ila rahisi kuelewa ukiona wanaongelea divai inayolewesha wanaongelea mvinyo agano LA kale sehemu kibao iko specific inaongelea sana mvinyo kama kilevi na agano jipya lime define wazi kuwa msilewe kwa mvinyo Bali mjazwe na Roho mtakatifu agano jipya linaweka mipaka wazi tofauti ya mvinyo na Divai
Agano jipya divai ni juice mvinyo ni pombe
Amina.Hata Mimi nitabaki RC,nitafia RC.Kanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli
SureKanisa katoliki la mitume, huko kwingine ni kushupaza shingo.
Umesema kweli kabisa.Ni kanisa ambalo halina time na mtu, halilazimishi mtu kusimama sjui atoe sadaka, halijui kupangia mtu mavazi hawachungulii leo flani kalala guest , mara flani hatoi sadaka, sjawai ona ubaguzi zaidi ya kuwa mshirika unayeshiriki ibada hasa za jumuia hata uwe maskini wa namna gani kanisa linakubeba kwa shida utakuwa nazo, ni taasisi inayotumia matoleo ya waumini wake kusaidia wasiojiweza, ntafia Roman Catholic wajameni licha ya mume wangu kuwa msabato
Nenda kanisa la waadventista wasabato hutajuta na makanisa yake yanapatikana kila wilaya. Mkoa na sehwmu mbali mbaliKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Chanzo na matokeoTofautisha Kati ya kunywa pombe na kulewa
Divai ni nini?Hiv kama Yesu alikataza pombe mbona alibadilisha maji kuwa divai kula kana?
Yan nyie sijui huwa mnapinga nini
Unaujua msingi wa imani ya wasabato?Nenda kanisa la waadventista wasabato hutajuta na makanisa yake yanapatikana kila wilaya. Mkoa na sehwmu mbali mbali
Njoo R.C broKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanjnisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Tanzania Assemblies of God (TAG)Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Njoo msikitini, hakuna kujiunga, hakuna masharti, hakuna fungu la kumi. Unaingia msikiti wowote, unaswali, unachota ilm unasepa. NI wewe na Muumba wako tu.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Hamtoi zaka?Njoo msikitini, hakuna kujiunga, hakuna masharti, hakuna fungu la kumi. Unaingia msikiti wowote, unaswali, unachota ilm unasepa. NI wewe na Muumba wako tu.
Atafute kabisa tai na MkobaWatafute mashahidi wa Yehova, sifa zote wanazo.
Umejua kunichekeshaAtafute kabisa tai na Mkoba
Zaka ya Kiislam sio kama fungu la kumi kanisani.Hamtoi zaka?