Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Milango ya kuzimu itajaribu kulishinda,Lakini haitaweza!
Uliona wap uongo ukashindana na uongo ili kupata haki?
Nimelelewa kwenye maadil ya kikatoriki lakin naweza sama mafundisho yao mengi ni mapokeo ya kibinadam na wala sio kwa mujibu wa biblia
 
Milango ya kuzimu itajaribu kulishinda,Lakini haitaweza!
Ww Una uhakika gan kama yamepotoka? Je kama www ndo umepotoka?
Endeleeni kuabudu viroba na mchanga na cement+rangi, sijui dini ya kweli ila according to bible katoliki ni kanisa lililopotoka hata shuhuda za ibada zenu ni ungofu na ubatili mtupu.
 
Uliona wap uongo ukashindana na uongo ili kupata haki?
Nimelelewa kwenye maadil ya kikatoriki lakin naweza sama mafundisho yao mengi ni mapokeo ya kibinadam na wala sio kwa mujibu wa biblia
Mkuu ulitaka nikupe uthibitisho,Nimekupatia.Tuelewane hapo kwanza!.Hayo mengine Elen G White anaweza kuwa na majibu! Msikilize tu mapokeo yake sio ya kibinadamu kama RC [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Sira 31:27

Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu.
Jidanganye

1 Wakorintho 6:9-10
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
 
KKKT hutajuta...kama natania angalia ibada zao Upendo TV
 
Jidanganye

1 Wakorintho 6:9-10
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala welevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Tofautisha mnywa pombe na mlevi! Hata kula sana ni ulevi! Sijui mnafundishwa nini kwenye hayo madhehebu yenu mpaka mnakuwa hamjui logic simple kama hizi! Mpo busy na mafuta na vitambaa vya upako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
MT 16:18

Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni. 20
Kwaiyo hapo ndipo kanisa katoriki likaanzishwa?
 
Kanisa aliloacha Kristo ni moja tu! Kanisa Katoliki.Hayo mengine si makanisa bali ni madhehebu tu yaliyoanzishwa na watu.
Kanisa LA kwanza wala halikuanzia Roma mnadanganyana
Kanisa LA kwanza lilianzia Israel alikozaliwa Yesu kuhubiri kusulubiwa na kufa

Mitume 12 wote hakuweko mroma hata mmoja

Yesu aliposema juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu hakuwa akimwongelea Petro alikuwa akijiongelea Yeye
Kristo ndie Jiwe kuu la Pembeni na Mwamba

Kanisa hakuna linalojengwa juu ya binadamu awe Petro ,Papa,Kakobe,Gwajima au Roma,au yeyote

Kanisa Mwamba ni Yesu tu sio Petro au yeyote

Ni kufuru kusema kanisa limejengwa juu ya binadamu

Hata kusema sijui kanisa LA Roman au la KKKt au LA TAG au LA Kakobe au LA Rwakatare au LA Gwajima nk ni upagani

Kanisa ni LA Kristo full stop si Mali ya yeyote na hakuna mwenye hatimiliki nalo had I kuliita La Petro au LA Roman au LA SDA nk

Wakorinto ndio waliwatambua wakristo kuwa ni Wa kanisa LA Kristo
 
Mkuu ulitaka nikupe uthibitisho,Nimekupatia.Tuelewane hapo kwanza!.Hayo mengine Elen G White anaweza kuwa na majibu! Msikilize tu mapokeo yake sio ya kibinadamu kama RC [emoji4][emoji4][emoji4]
Hapa sijamtaja popote huyo mwanamke ila nimezungumzia kuhusu mafundisho ya kimapokeo ya kibinadam na sio ya kibiblia. Mfano: sanamu, amri 10 za Mungu ambazo sio sawa ma alizopewausa jangwani na Mungu mwenyewe, sara ya baba yetu uliye mbinguni, uwepo wa nguvu za bikra Maria kiroho, uwepo wa nguvu za vitu katika kuombea watu kwa Mungu( sanduku la agano, mnala wa mlinzi, nyota ya asubuhi, nk),
 
Sira 31:27

Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu.
Vitabu ulicho quote cha jalalani
Kukusaidia agano Ka kale wenye vitabu vya agano LA kale no wayahudi ambao ni taifa lililotembea na Mungu

Kanisa halikupata shida kupata vitabu vya agano LA kale lilichukua vitabu vyote vya wayahudi ikaviweka kwenye Biblia

Ndio maana Biblia ya vitabu 66 agano la kale makanisa yote yasiyo katoliki yalichukua kwenye Jews Bible yaani Biblia ya Wayahudi tunalingana nao vizuri tu kwenye agano LA kale

Kanisa katoliki likaenda kuokota vitabu sita majalalani kikiwemo hicho cha Yoshua Bin sira na kuviweka kuwa sehemu ya agano LA kale Ku justify ulevi wao.Kwenye Biblia ya wayahudi hakimo ambao ndio wenye agano lote LA kale.Catholic wakaongeza vitabu sita hivyo kuwa na Biblia yao wao tu yenye vitabu 72 badala ya 66 na hivyo walivyoongeza sita vyote vya agano LA kale na waliviokota majalalani wayahudi wenye agano LA kale hawavitambui
 
Kanisa LA kwanza wala halikuanzia Roma mnadanganyana
Kanisa LA kwanza lilianzia Israel alikozaliwa Yesu kuhubiri kusulubiwa na kufa

Mitume 12 wote hakuweko mroma hata mmoja

Yesu aliposema juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu hakuwa akimwongelea Petro alikuwa akijiongelea Yeye
kristo ndie Jiwe kuu la Pembeni na Mwamba

Kanisa hakuna linalojengwa juu ya binadamu awe Petro ,Papa,Kakobe,Gwajima au Roma,au yeyote

Kanisa Mwamba ni Yesu tu sio Petro au yeyote

Ni kufuru kusema kanisa limejengwa juu ya binadamu

Hata kusema sijui kanisa LA Roman au la KKKt au LA TAG au LA Kakobe au LA Rwakatare au LA Gwajima nk ni upagani

Kanisa ni LA Kristo full stop si Mali ya yeyote na hakuna mwenye hatimiliki nalo had I kuliita La Petro au LA Roman au LA SDA nk

Wakorinto ndio waliwatambua wakristo kuwa ni Wa kanisa LA Kristo
Wasabato bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna aliyesema RC ni dini ya kwanza kuwahi kuanzishwa! Bali RC ni kanisa la kwanza kuanzishwa na Yesu Kristu.Kwa hiyo Yesu baada ya kusema juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu kama hakuwa akimwongelea Petro maneno yaliyofuata baada ya hapo alikuwa akimwambia nani? [emoji23][emoji23][emoji23]

18Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.

Biblia imetamka wazi na ipo straight wewe ni nani utake kupindisha maneno ya Yesu mwenyewe? Au Elen G White ndio kawafundisha kupindisha maneno ya Biblia [emoji23][emoji23][emoji23]

Kanisa ni la Kristu.Haya mambo madogo madogo mlitakiwa kusoma katekisimu na kuhudhuria mafundisho mpate kuelewa.

Hata kama ukisema Mwamba ni Yesu sawa,Ukweli unabaki palepale kwamba kanisa hilo alilolitamka Yesu ndilo kanisa la kwanza alilolianzisha yeye yaani kanisa Katoliki.

Ni kufuru kulikataa kanisa alilolianzisha Yesu mwenyewe!
 
Kiitikio: Utuombee

Maria Mtakatifu,
Mzazi Mtakatifu wa Mungu,
Bikira Mtakatifu, Mkuu wa mabikira,
wa Kristu,
Maria sio Bikira wewe

Bikira hubomoka kwa njia mbili kuu

Kwa Bikira Kuingiliwa na mwanaume au kwa kuzaa
Maria alimzaa Yesu na Yesu kutoka Tumboni azaliwe duniani Bikira ilibomoka wakati anatoka!! Baada ya kuzaa Yesu hakuna Bikira ilibaki.Kaulize mkunga yeyote
 
Back
Top Bottom