Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Uliona wap uongo ukashindana na uongo ili kupata haki?Milango ya kuzimu itajaribu kulishinda,Lakini haitaweza!
Nimelelewa kwenye maadil ya kikatoriki lakin naweza sama mafundisho yao mengi ni mapokeo ya kibinadam na wala sio kwa mujibu wa biblia